JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Tag: wafungwa

Rais Magufuli Atoa Msamaha kwa Wafungwa 8157

Rais Magufuli ametangaza msamaha kwa wafungwa 8,157 ikiwa ni kwa mujibu wa katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Kati yao, wafungwa 1,828 watatoka leo na 6,329 wamepunguziwa muda wa adhabu. Miongoni mwa Wafungwa hao waliopata msaha wapo pia wafungwa…

Babu Seya na Mwanae Johnson Nguza ‘Papii Kocha Wapata Msamaha wa Rais

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli, ametangaza kumsamehe Nguza Viking marufu kama ‘Babu Seya’ na mwanae Johnson Nguza ‘Papi Kocha’ waliokuwa wamehukumiwa kifungo cha maisha kwa kosa la kubaka. Rais Magufuli ameyasema hayo leo Mjini…