Skip to main content
JAMHURI MEDIA
Tunaanzia wanapoishia wengine
Home
Kitaifa
Biashara
Siasa
Uchumi
Kimataifa
Makala
Siasa
Uchumi
MCHANGANYIKO
Michezo
Burudani
Kazi/Ajira
Gazeti La Jamhuri
Sitanii
JAMHURI YA WAUNGWANA
Nyundo ya Wiki
Search
September 2, 2022
MCHANGANYIKO
Tanzania na Saudi Arabia kufanya kambi maalum ya matibabu ya moyo kwa watoto
Jamhuri
Comments Off
on Tanzania na Saudi Arabia kufanya kambi maalum ya matibabu ya moyo kwa watoto
Balozi wa Saudi Arabia nchini Tanzania Abdullah Al Sharyan akizungumza na wataalamu wa magonjwa ya moyo kwa watoto kutoka Kituo cha Mfalme Salman cha Misaada ya Kibinadamu kilichopo nchini humo ambao wako katika Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) kwa ajili ya kambi maalum ya matibabu ya moyo kwa watoto itakayoanza tarehe 03/09/2022.
Kaimu Mkurugenzi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Delilah Kimambo akimwelezea Balozi wa Saudi Arabia nchini Tanzania Mhe. Abdullah Al Sharyan huduma za matibabu ya moyo zinazotolewa na Taasisi hiyo wakati wa ziara yake aliyoifanya leo JKCI kwa ajili ya kuangalia maandalizi ya kambi maalum ya matibabu ya moyo kwa watoto itakayoanza tarehe 03/09/2022. Kambi hiyo ya matibabu itafanywa na wataalamu wa JKCI kwa kushirikiana na wenzao kutoka Kituo cha Mfalme Salman cha Misaada ya Kibinadamu kilichopo nchini Saudi Arabia.Picha na Khamisi Mussa
Balozi wa Saudi Arabia nchini Tanzania Mhe. Abdullah Al Sharyan akisalimiana na daktari bingwa wa magonjwa ya moyo kwa watoto wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Sulende Kubhoja wakati wa ziara yake aliyoifanya leo katika Taasisi hiyo kwa ajili ya kuangalia maandalizi ya kambi maalum ya matibabu ya moyo kwa watoto itakayoanza tarehe 03/09/2022. Kambi hiyo maalum itafanywa na wataalamu wa JKCI kwa kushirikiana na wenzao kutoka Kituo cha Mfalme Salman cha Misaada ya Kibinadamu kilichopo nchini Saudi Arabia.
Post Views:
89
Previous Post
Wawekezaji Arusha wammwagia sifa Rais Samia ujenzi wa barabara
Next Post
Waziri Mabula awataka wanaonunua ardhi kufanya uhakiki
UN yaonya kuwa binadamu wanaathrika na janga la joto kali
Obama amuunga mkono Kamala Harris kuwa rais
Serikali yaombwa kuwawezesha wakulima vijijini
Iraq: Roketi zafyatuliwa kuelekea kambi ya jeshi la Marekani
Wazazi nchini watakiwa kuwalinda watoto na kuwapa lishe bora
Habari mpya
UN yaonya kuwa binadamu wanaathrika na janga la joto kali
Obama amuunga mkono Kamala Harris kuwa rais
Serikali yaombwa kuwawezesha wakulima vijijini
Iraq: Roketi zafyatuliwa kuelekea kambi ya jeshi la Marekani
Wazazi nchini watakiwa kuwalinda watoto na kuwapa lishe bora
Viongozi wa Halmashauri watakiwa kusimamia miradi kwa weledi
CCM Njombe, RC Mtaka waridhishwa na ujenzi barabara ya kiwango cha zege Itoli – Ludewa – Manda
Bashungwa: Tumejipanga kuifungua Dar es Salaam
Shahidi aeleza mume wake alivyopigwa na Nathwani mpaka kuzimia
Tanzania yahimiza nchi zipate mikopo nafuu
Vyuo vikuu 15 nje ya nchi kufanya maonyesho Arusha
Utasa unavyogeuka laana kwa wanawake
Samia kusafiri kwa SGR Dar-Dodoma
Tanzania kuwa mwenyeji mkutano wa kimataifa wa barabara
Msafara wa wachezaji wawasili Paris kushiriki Olympic