Skip to main content
JAMHURI MEDIA
Tunaanzia wanapoishia wengine
Home
Kitaifa
Biashara
Siasa
Uchumi
Kimataifa
Makala
Siasa
Uchumi
MCHANGANYIKO
Michezo
Burudani
Kazi/Ajira
Gazeti La Jamhuri
Sitanii
JAMHURI YA WAUNGWANA
Nyundo ya Wiki
Search
December 1, 2024
MCHANGANYIKO
Waziri Mkuu awasili Songea
Jamhuri
Comments Off
on Waziri Mkuu awasili Songea
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa na Mkewe Mama Mary Majaliwa wakiiongozwa na Mkuu wa Mkoa wa Rukwa, Kanali Ahmed Abbas (wa pili kushoto) walipowasili kwenye Uwanja wa Ndege wa Songea Novemba 30, 2024. Kesho watashiriki Maadhimisho ya Kilele cha Siku ya UKIMWI Duniani.(Picha zote na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma, Kanali Ahmed Abbas alipowasili kwenye Uwanja wa Ndege wa Songea Novemba 30, 2024 na kesho atashiriki katika Maadhimisho ya Kilele cha Siku ya UKIMWI Duniani. Kushoto ni Waziri wa Afya, Jenista Mhagama na wa pili kushoto ni Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Ruvuma, Komred Oddo Mwisho.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa na Mkewe Mama Mary Majaliwa wakisalimiana na viongozi walipowasili kwenye uwanja wa ndege wa Songea , Novemba 30, 2024. Kesho watashiriki Kilele cha Maadhimisho ya Siku ya UKIMWI Duniani. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa na Mkewe Mama Mary Majaliwa wakifurahia ngoma walipowasili kwenye Uwanja wa Ndege wa Songea , Novemba 30, 2024. Kesho watashiriki Kilele cha Maadhimisho ya Siku ya UKIMWI Duniani. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Post Views:
201
Previous Post
Wamiliki ghorofa Kariakoo wakabiliwa na mashitaka 31
Next Post
Abdul Nondo adaiwa kutekwa katika Kituo cha Mabasi Magufuli
JKCI yazidi kutanua wigo wa huduma za matibabu nchini
Watatu mbaroni kwa wizi mtoto wa miezi saba, wakutwa msituni
Bashe ahimiza ushirikiano kati ya Tume ya Umwagiliaji na Wakurugenzi Watendaji wa Halmashauri
Waziri Kombo akutana na Waziri wa Uchukuzi wa Czech
Polisi Arusha wapewa pikipiki 20 kuimarisha usalama
Habari mpya
JKCI yazidi kutanua wigo wa huduma za matibabu nchini
Watatu mbaroni kwa wizi mtoto wa miezi saba, wakutwa msituni
Bashe ahimiza ushirikiano kati ya Tume ya Umwagiliaji na Wakurugenzi Watendaji wa Halmashauri
Waziri Kombo akutana na Waziri wa Uchukuzi wa Czech
Polisi Arusha wapewa pikipiki 20 kuimarisha usalama
Tanzania, UN tourism zasaini makubaliano ya kongamano la kimataifa la utalii wa vyakula barani Afrika
Maelfu watakiwa kuhama baada ya moto mpya kuzuka Marekani
Marekani yaahidi kuunga mkono Serikali ya Israel
ZEEA yaanza kutoa mikopo kidijitali, maafisa washauriwa kuwa makini
Wasira awashukia waliopora ardhi ya vijiji
Zaidi ya wanawake 600 kutoka mikoa saba kujengewa uwezo masuala ya uongozi
TMA yatoa utabiri wa msimu wa mvua za masika 2025
Wakazi zaidi ya 1,000 Mpiji Magoe kunufaika na huduma ya majisafi
Rais Samia azungumza na Mjumbe Maalum wa Rais wa Djibouti Ikulu jijini Dar
Mitaala 21 ya TEHAMA vyuoni yahakikiwa