Skip to main content
JAMHURI MEDIA
Tunaanzia wanapoishia wengine
Home
Kitaifa
Biashara
Siasa
Uchumi
Kimataifa
Makala
Siasa
Uchumi
MCHANGANYIKO
Michezo
Burudani
Kazi/Ajira
Gazeti La Jamhuri
Sitanii
JAMHURI YA WAUNGWANA
Nyundo ya Wiki
Search
November 18, 2022
Habari Mpya
Zungu avunja Baraza la Wafanyakazi la Ofisi ya Bunge
Jamhuri
Comments Off
on Zungu avunja Baraza la Wafanyakazi la Ofisi ya Bunge
Mwenyekiti wa TUGHE Tawi la Bunge, Chacha Nyakega akizungumza katika kikao cha Baraza la Wafanyakazi la Ofisi ya Bunge katika kikao cha Baraza hilo kilichofanyika katika Ukumbi wa Msekwa Jijini Dodoma. Baraza hilo limemaliza kipindi chake cha miaka mitatu
Naibu Spika wa Bunge, Mhe. Mussa Zungu akitoa hotuba ya kuvunja Baraza la Wafanyakazi la Ofisi ya Bunge katika kikao cha Baraza hilo kilichofanyika katika Ukumbi wa Msekwa Jijini Dodoma. Baraza hilo limemaliza kipindi chake cha miaka mitatu.
Katibu wa Bunge Nenelwa Mwihambi akitoa hotuba ya kumkaribisha Mgeni Rasmi ambaye ni Naibu Spika Mhe. Mussa Zungu kwa ajili ya kulivunja Baraza la Wafanyakazi la Ofisi ya Bunge baada ya Baraza hilo kumaliza kipindi chake cha miaka mitatu. Kikao hicho cha Baraza kimefanyika katika Ukumbi wa Msekwa Bungeni Jijini Dodoma.
Post Views:
330
Previous Post
Mchungaji,wanawe wawili watuhumiwa kuua mtoto wakimuombea
Next Post
'Kukwepa kutumia maabara kumechangia ongezeko la magonjwa'
Mbetto :Jussa acha matamshi ya kibaguzi Zanzibar
Dereva aliyesababisha ajali iliyoua watu nane akamatwa
WHI yatunukiwa tuzo ya nyumba za gharama nafuu zaidi Afrika
NEEC yadhamiria kuwainua kiuchumi wananchi kwa kutoa elimu ya kutambua fursa
Setilaiti iliyotengenezwa na Boeing yavunjika angani
Habari mpya
Mbetto :Jussa acha matamshi ya kibaguzi Zanzibar
Dereva aliyesababisha ajali iliyoua watu nane akamatwa
WHI yatunukiwa tuzo ya nyumba za gharama nafuu zaidi Afrika
NEEC yadhamiria kuwainua kiuchumi wananchi kwa kutoa elimu ya kutambua fursa
Setilaiti iliyotengenezwa na Boeing yavunjika angani
Geita yaupokea mradi wa bilioni 17 kusambaza umeme kwenye vitongoji 105
Kongamano la ARGe0-C10 kuongeza kasi uendelezaji jotoardhi Afrika Dk Mataragio
Urusi yafanya mashambulizi usiku kucha mjini Kyiv Ukraine
Profesa Mkumbo avutiwa na utendaji wa bandari ya Dar
FCS, LATRA CCC wasaini makubaliano kuimarisha ulinzi na haki ya walaji sekta ya usafiri ardhini
Mfumo wa PAIS kudhibiti migogoro baina wanyamapori na binadamu Babati
Waziri Bashungwa aongoza utiaji saini ujenzi wa daraja la Jangwani
GST kukamilisha upatikanaji wa ithibati vyungu kuyeyushia sampuli za dhahabu
Kamati ya Bunge yaridhishwa utendajikazi Wizara ya Nishati
Shule za Mbeya kufanyiwa ukarabati mkubwa, zitoe mazingira bora ya kujifunzia