Uislamu unahimiza kufanya kazi, unapinga ukupe
Anuani ya makala yetu leo inatudai fasili ya maneno mawili ya Kiswahili: Kazi na Ukupe. Kazi kwa fasili inayozingatia sheria ni “shughuli yoyote halali inayompatia mtu kipato au masilahi fulani halali yaliyokubaliwa,” wakati kwa mujibu wa Kamusi ya Kiswahili Sanifu (Toleo la Pili) iliyotolewa na Taasisi ya Uchunguzi wa Kiswahili – TUKI (sasa Taasisi ya…