JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Latest Posts

Rais Samia afanya uwekezaji mkubwa kulinda afya za Watanzania

…………………………………………………………………. Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, RuvumaNaibu Waziri wa Afya Dkt. Godwin Mollel amesema kuwa serikali ya awamu ya sita chini ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan imefanya uwekezaji mkubwa katika sekta ya afya nchini…

Rais Mwinyi afungua Hospitali ya Wilaya ya Kivunge Kaskazini Unguja

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapindizi DK Hussein Ali Mwinyi kulia akisalimiana na Viongozi wa Chama na Serikali mara baada ya kuwasili Kivunge kwa ajili ya kufungua Hospitali ya Wilaya Kivunge Mkoa wa Kaskazini Wilaya ya Kaskazini…

Waziri Silaa awasimamisha kazi watumishi 11 Mwanza, Dodoma, TAKUKURU kuwachunguza

Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma WAZIRI wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Jerry Silaa amewasimamisha kazi watumishi 11 waliokuwa wakifanya kazi katika Halmashauri ya Jiji la Mwanza na Dodoma kupisha uchunguzi wa tuhuma mbalimbali zinazowakabili. Hatua hii ni utekelezaji wa maelekezo…

Mfumo wa kielektroniki wa kudhibiti ununuzi wa mafuta serikalini wazinduliwa

Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia,nDodoma Matumizi sahihi na salama ya mifumo ya kieletroniki Serikalini, yametajwa kuwa suluhisho la kudumu katika kuziba mianya ya upotevu wa rasilimali za serikali ikiwemo mapato yatokanayo na vyanzo mbalimbali nchini. Hayo yameelezwa jijini Dodoma na Waziri…