Year: 2018
Lugha ni chombo cha mawasiliano
Na Angalieni Mpendu 0717/0787 113542 Lugha ni chombo cha mawasiliano, na kinaunganisha pande mbili katika mambo mbalimbali: kama vile elimu, mahusiano na kadhalika. Lugha pia ni mpangilio wa sauti na maneno unaoleta maana ambayo hutumika na watu kuanzia familia, taifa…
WENGER AWATULIZA MASHABIKI WA ARSENAL, AIBABUA AC MILLAN 3-1
Baada ya Arsenal jana kuitandika AC Millan, kwa mabao 3-, uwenda mashabiki wa Arsenal wanaweza kutuliza mzuka wa kumlazimisha Mzee wenga kung’atuka kwenye timu ya Arsenal. Mabao ya Arsenal yalifungwa na Danny Welbeck ambaye alifunga magoli mawili na goli la…
Yah: Maendeleo yapatikana kwa kujifananisha na walioendelea
Nimeamka nikiwa na afya njema kabisa leo. Nimeamka nikiwa nina akisi maisha halisi na yale ya baadhi ya watu ya kuigiza. Nimeamka nikiangalia maisha halisi ya kujitegemea kwa kilimo na ufugaji na maisha halisi ya kutegemea siasa. Nimeanza kuona uhalisia…
KING MAJUTO ANAUMWA
Na Moshy Kiyungi, Tabora Imekuwa kawaida kuandika historia ya mtu pindi anapofariki. Katika makala hii namuangazia mwigizaji mkongwe wa Filamu na vichekesho Tanzania, Amri Athuman maarufu kama King Majuto. Mchekeshaji Amri Athuman ‘Mzee Majuto’ amelazwa katika Hospitali ya Muhimbili jijini Dar…
Serikali: Jengeni nyumba za kupangisha Dodoma
DODOMA NA EDITHA MAJURA Naibu Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mwasiliano, Elias Kuandikwa, ametoa wito kwa wenye uwezo wa kujenga nyumba za kupangisha, kufanya hivyo mkoani Dodoma ili kusaidiana na serikali katika kuwapatia makazi bora, wanaohamia kutokana na utekelezaji hatua ya…