JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Month: April 2022

CAG akagua fedha za wahujumu uchumi 

*Ni za wale waliokiri makosa, wakalipa faini kwa DPP, sasa yadaiwa fedha hazikwenda serikalini *Ofisa mmoja adaiwa kuchukua kodi ya nyumba iliyotolewa serikalini kwa ‘plea bargaining’ *Wadau waomba fedha za kikosi kazi nazo zikaguliwe DAR ES SALAAM Na Mwandishi Wetu …

Mitandao ‘yamponza’ wakili msomi

Ripoti ya CAG yathibitisha madai aliyotoa mwaka jana DAR ES SALAAM Na Alex Kazenga Wiki iliyopita iligubikwa na taarifa za kutoweka kwa mmoja wa mawakili wa Mahakama Kuu, Peter Madeleka, ikidaiwa kuwa ‘ametekwa’ na watu wasiojulikana. Inadaiwa kuwa Madeleka, kachero…

MANUSURA MAUAJI YA KIMBARI: ‘Nimeshamsamehe aliyemuua mume wangu’

KIGALI, RWANDA Unapaswa kuwa na upendo ili upone; ndivyo anavyoamini mwanamke huyu ambaye si tu kwamba amekwisha kumsamehe mtu aliyemuua mumewe miaka 28 iliyopita, lakini pia amekubali kijana wake kumuoa binti wa aliyekuwa ‘mbaya wake’! Mwanamke huyu, Bernadette Mukakabera, amekuwa…

Marekani yatumia Bunge kumwengua Waziri Mkuu Pakistan 

Na Nizar K Visram Imran Khan, aliyekuwa Waziri Mkuu wa Pakistan, ameondolewa madarakani baada ya Bunge la nchi hiyo kupiga kura ya kutokuwa na imani naye.  Kura hiyo ilipigwa Aprili 9, mwaka huu baada ya mvutano mkali baina ya Chama…

UTAMU WA SIMBA, YANGA Mayele kutetema mbele ya Inonga?

DAR ES SALAAM Na Andrew Peter Mtetemo wa Mayele ndio ‘trendi’ ya jiji, mashabiki wa Yanga wanataka kuona, wale wa Simba hawataki. Hiki ndicho kitendawili kinachosubiri jibu Jumamosi hii wakati vinara wa Ligi Kuu watakapowakaribisha watani wao wa jadi, Simba,…

DARAJA LA WAMI: Alama nyingine ya kujivunia Tanzania

CHALINZE Na Mwandishi Wetu Miundombinu inatajwa kuwa na umuhimu mkubwa katika kuchochea maendeleo ya uchumi wa taifa, ikifananishwa na mishipa ya damu katika mwili wa binadamu. Barabara na madaraja ndiyo hasa vitu vinavyoyagusa moja kwa moja maisha ya mwananchi wa…