JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Month: April 2022

MIAKA 100 YA MWALIMU… Tanzania ilikuwa Makka ya wapigania uhuru

Dar es Salaam Na Mwandishi Wetu Ifuatayo ni mada iliyotolewa na Mwandishi wa Habari Mwandamizi, Aboubakary Liongo, katika maadhimisho ya miaka 100 ya kuzaliwa kwa Baba wa Taifa lililofanyika Aprili 9, 2022 Chuo cha Uongozi Kibaha. Ndugu zangu, wakati tunaadhimisha…

Hofu Vita ya Tatu ya Dunia 

Dar es Salaam Na Mwandishi Wetu Ipo hofu ya kuzuka kwa vita ya tatu ya dunia, hali hiyo ikichochewa na matamshi ya Rais Joe Biden wa Marekani na matendo ya nchi wanachama wa Umoja wa Ulaya dhidi ya Urusi, hasa…

Biashara bila hofu ya Urusi, Ukraine

DAR ES SALAAM Na Mwandishi Wetu Watu wengi husita au hushindwa kuingia katika biashara wakitishwa na hatua zinazofahamika katika kuanzisha biashara husika, mbali na hofu iliyozuka kwa sasa ya vita kati ya Urusi na Ukraine. Hatua hizo ambazo ni sawa…

TIC yajitosa ‘uchumi’ wa gesi

DAR ES SALAAM Na Mwandishi Wetu Wakati mjadala kuhusu kupanda kwa bei ya mafuta ya petroli na bidhaa mbalimbali ukitamalaki nchini, Kituo cha Uwekezaji (TIC) kinatarajia kushuhudia kujengwa kwa vituo 12 vya kubadilisha mifumo ya matumizi ya nishati katika magari….

Mchwa waliomulikwa ripoti ya CAG watafutiwe mwarobaini 

Ripoti ya mwaka wa fedha wa 2020/2021 ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Charles Kichere, imeibua madudu mengi katika maeneo ya kiutendaji serikalini. Mathalani kupitia ripoti hiyo iliyowasilishwa bungeni Aprili 12, 2022 imebainika kuwa mamlaka 24…

Ijue tofauti ya wakili, mwanasheria

Na Bashir Yakub Kila wakili ni mwanasheria, lakini si kila mwanasheria ni wakili.  Wakili ni zaidi ya mwanasheria. Ili uwe wakili unaanza kuwa mwanasheria.  Mwanasheria ni mtu yeyote aliyesoma kozi ya sheria katika chuo kinachotambulika na kuhitimu, kufaulu na kupata…