Year: 2022
Kukithiri michango ya matibabu, ishara ya tatizo mfumo wa afya
Moshi Na Nassoro Kitunda Imekuwa ni kawaida sasa wananchi kuomba fedha kwa ajili ya matibabu. Afya ni huduma muhimu ambayo wananchi wanaihitaji sana. Ukipitia mitandao ya kijamii, utaona namna watu wanavyoomba kuchangiwa matibabu, na ni mamilioni ya fedha ili waweze…
Uganda yaamuriwa kuilipa DRC mabilioni
Na Nizar K Visram Mahakama ya Kimataifa (ICJ) iliyo Uholanzi imeihukumu Uganda kuilipa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo (DRC) dola za Marekani milioni 325 (sawa na zaidi ya Sh bilioni 752) kama fidia kutokana na majeshi yake kuingia DRC mwaka…
Keki ya taifa inapoipindua nchi
DODOMA Na Javius Byarushengo Januari 22, 2022, jeshi la Burkina Faso lilifanya mapinduzi baridi kwa kumuondoa madarakani Roch Kabore, Rais aliyechaguliwa kidemokrasia. Kama ilivyo ada, yanapofanyika mapindiuzi, hupingwa kila kona ya dunia huku Jumuiya ya Kiuchumi ya Mataifa ya Afrika…
Giza nene Ngorongoro
Na Mwandishi Wetu Wakati serikali na wadau wa uhifadhi ndani na nje ya nchi wakihaha kuikokoa Hifadhi ya Eneo la Ngorongoro (NCAA) isitoweke, imebainika kuwa baadhi ya vigogo, wakiwamo wabunge, wanamiliki maelfu ya mifugo katika eneo hilo. Tayari kampeni kubwa…
Taharuki sadaka ya kuchinja
*Mamia ya kondoo yachinjwa, wanafunzi shule za msingi walishwa nyama, wapigwa picha *Wazazi washituka, wazuia watoto wasiende shuleni wakidai ni aina ya kafara isiyokubalika *Mkuu wa Wilaya aingilia kati, aitisha kikao cha dharura Arusha Na Mwandishi Wetu Taharuki imewakumba wazazi…
Mwendokasi wanakufa na tai shingoni
Na Joe Beda Rupia Usipokuwa makini unaweza kudhani mambo ni shwari katika kampuni ya mabasi yaendayo haraka, UDART, ya jijini Dar es Salaam. Hakuna anayesema ukweli. Hakuna anayewasemea. Hakuna anayewajali. Wadau wamekaa kimya. Wamewatelekeza na wao wenyewe ni kama wameamua…