Year: 2022
Timu ya waogeleaji waipeperusha vyema Tanzania
Waogeleaji wa timu ya Taifa ya Tanzania ya wanaume na wanawake (Tanzanite) wameipeperusha vyema bendera ya nchi baada ya kushinda mashindano ya Kanda ya tatu Afrika yaliyofanyika hivi kariibuni kwenye bwawa la klabu ya Dar es Salaam Gymkhana. Katika mashindano…
Wagonjwa 105 wagundulika kuwa na maambukizi ya COVID-19 Tanzania
Mtaalam na mbobezi wa masuala ya chanjo kutoka Shirika la Afya Duniani (WHO), Dkt.Caroline Akim amesema hadi kufikia Novemba 25 ,mwaka huu,Tanzania ilikuwa na wagonjwa wapya 105 waliogundulika na maambukizi ya Covid19. Ameeleza kundi la vijana wengi wao hawajachanja kwa…
TEF:Mchakato wa mabadiliko ya sheria ya habari una matumaini chanya
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF),Deodatus Balile, amesema mchakato wa mabadiliko ya sheria ya habari una matumaini chanya baada ya Serikali kuchukua hatua na kuhakikisha kukamilisha mchakato huo. Balile amesema kuwa kwa hatua hiyo wadau wa…
TEF:Mchakato wa mabadiliko ya sheria ya habari una matumaini chanya
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF),Deodatus Balile, amesema mchakato wa mabadiliko ya sheria ya habari una matumaini chanya baada ya Serikali kuchukua hatua na kuhakikisha kukamilisha mchakato huo. Balile amesema kuwa kwa hatua hiyo wadau wa…