JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Year: 2024

Dk Biteko azitaka TARURA, TANESCO kufikisha huduma zake Ngorongoro

📌Aipongeza TBC kwa maboresho makubwa ya miundombinu 📌Usikivu wa radio za TBC kufikia asilimia 92 Mwaka 2024/2025 📌Asisitiza maamuzi sahihi uchaguzi Serikali za Mitaa 📌Waziri Nape asisitiza umuhimu Mawasiliano kwa jamii 📌Asema Watanzania wanasimama na Rais Samia Naibu Waziri Mkuu…

Dk Mpango ataka jamii kuwekeza kwenye uanzishaji bustani za kijani

Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Philip Mpangoametoa wito kwa sekta binafsi, mashirika, Taasisi za umma pamoja na Taasisi za dini kuwekeza katika uanzishaji na uendelezaji wa Bustani za Kijani nchini…

Serikali hutenga milioni 250 kupitia TBS kuwahudumia wajasiriamali wadogo

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Serikali hutenga shilingi milioni 250 kwa ajili ya wahudumia wajasiriamali wadogo nchini bila malipo yoyote kupitia Shirika la Viwango Tanzania (TBS). Hayo yamebainishwa leo Aprii 15,2024 jijini Dar es Salaam na Mkurugenzi Mkuu…

TEMESA inalipa milioni tano Azam Marine kila siku

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Charles Kichere amependekeza TEMESA itathmini mikakati mbadala ya kupunguza utegemezi wa vivuko vya mwendokasi kwa kuwa kuendelea kukodisha vivuko hivyo kutoka Kampuni ya Azam Marine kunaathiri…

Kariakoo Derby ni ‘ Wazee Day’ Jumamosi

Na Isri Mohamed, JamhuriMedia, Dar Kuelekea mchezo wa Derby ya Kariakoo kati ya Yanga na Simba Jumamosi hii, Afisa habari wa klabu hiyo, Ali Kamwe ametangaza mchezo huo kuwa ni maalum kwa Wazee wote wa Yanga. Akizungumza na wanahabari leo,…

TAKUKURU, ZAECA kuimarisha ushirikiano mapambano dhidi ya rushwa

Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia,Dodoma Katika kipindi cha miaka 60 ya Muungano, kwa kuzingatia awamu zote zilizopita na hii inayoongozwa na Rais, Dkt. Samia Suluhu Hassan, Serikali inaendelea kutekeleza jitihada za kuzuia na kupambana na rushwa ili wananchi waweze kupata huduma…