JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

RC Chalamila ataka wananchi kuendelea kuchukua tahadhari dhidi ya majanga ya moto

RNa Mwandishi Wetu, Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Albert Chalamila leo Octoba 1, 2023 amefika eneo la ajali ya moto Kariakoo jijini Dar es Salaam ambapo moto umetokea majira ya asubuhi na kusababisha kuteketea jengo moja pamoja na…

Migodi midogo Geita kuunganishwa umeme wa REA

Na Lilian Lundo na Veronica Simba, JamhuriMedia Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amesema Wakala wa Nishati Vijijini (REA) tayari ameanza kazi ya kuunganisha umeme kwenye migodi midogo midogo wilayani Geita, ili kuwapunguzia gharama za…

Mzize aipeleka Yanga SC makundi CAFC

KLABU ya Yanga SC imefanikiwa kutinga hatua ya makundi michuano ya Klabu Bingwa Afrika baada ya kuichapa Al Merreik ya Sudan bao 1-0 mchezo ambao umepigwa kwenye dimba la Chamazi. Kwa mara ya mwisho Yanga SC kufuzu hatua ya makundfi…

Serikali kufungua shamba la miwa Muhukuru, Ruvuma

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Ruvuma Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulika na Sera, Bunge na Uratibu Jenista Mhagama (MB) wa Peramiho amesema Serikali kupitia Halmashauri ya Wilaya ya Songea imedhamiria kufungua shamba kubwa la miwa na kiwanda cha…