JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Jela miaka 30 kwa kosa la kumbaka mwanafunzi

Mahakama ya Wilaya ya Songwe mkoani Songwe tarehe 08 April 2024 imemhukumu mshtakiwa Shomari Hamis kwajina maarufu Kijasho Ras (28) Mchimbaji wa Madini, mkazi wa Patamela kata ya Saza, kutumikia adhabu ya Kifungo cha miaka 30 jela kwa kosa la…

‘Tuendelee kuyaishi tuliyojifunza mwezi Mtukufu wa Ramadhani’

WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amewataka waumini wa dini ya kiislam kuendelea kuyaishi yale waliyojifunza wakati Mwezi Mtukufu wa Ramadhani. Amesema kuwa lengo ni kuhakikisha jamii inaendelea kuwa bora na kulifanya Taifa kuwa lenye tulivu, amani na mshikamano โ€œPopote Tanzania unapokwenda…

Waziri Mkuu ashiriki sala la Eid Dodoma

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amewataka waumini wa dini ya kiislam kuendelea kuyaishi yale waliyojifunza wakati Mwezi Mtukufu wa Ramadhani. Amesema kuwa lengo ni kuhakikisha jamii inaendelea kuwa bora na kulifanya Taifa kuwa lenye tulivu, amani na mshikamano โ€œPopote Tanzania unapokwenda…

PPRA yaweka kipaumbele kwenye utafiti kubaini changamoto za manunuzi

Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma Serikali kupitia Mamlaka ya Udhibiti wa Ununuzi wa Umma (PPRA) imeweka kipaumbele katika utafiti wenye lengo la kubaini changamoto zinazoikabili sekta ya ununuzi na kutafuta suluhisho la namna ya kukabiliana nazo. Hayo yameelezwa leo Aprili 9,2024 Jijini…

Waziri wa Ulinzi atoa pole vifo na majeruhi ya wanajeshi wa Tanzania DRC

Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Mheshimiwa Dkt. Stergomena Lawrence Tax (Mb), ametoa salamu za pole kwa Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Tanzania, Jenerali Jacob John Mkunda, kufuatia vifo vya Wanajeshi watatu (3) na wengine watatu (3) kujeruhiwa…