Author: Jamhuri
Bunge laahirisha mkutano wake
Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma Mkutano wa 11 wa Bunge la 12 la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,umeahirishwa huku Serikali ikiwahakikishia Watanzania kuwa mikataba ya utekelezaji wa makubaliano ya uendeshaji wa maeneo ya bandari nchini kati yake na Serikali ya…
Waziri Mkuu atoa agizo kwa watendaji wa Halmashauri
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amezielekeza halmashauri zote nchini zihakikishe maeneo yote yanayotwaliwa kutoka kwa wananchi yanalipiwa fidia kwa wakati ili kuepusha migogoro inayoweza kujitokeza siku za usoni. Amesema kumekuwa na malalamiko kutoka kwa baadhi ya wananchi kwenye maeneo mbalimbali nchini…
Majaliwa: Mikataba ya uendelezaji bandari itazingatia maslahi ya nchi
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema Serikali itahakikisha kuwa mikataba ya utekelezaji wa makubaliano ya uendeshaji wa maeneo ya bandari nchini kati ya Serikali ya Tanzania na Serikali ya Dubai kupitia Kampuni ya DP World itazingatia maslahi ya nchi na kuleta manufaa kwa…
Serikali yaanza kufanya maboresho mwongozo wa biashara ya kaboni
Serikali kupitia Ofisi ya Makamu wa Rais imeanza kufanyia maboresho Kanuni na Mwongozo wa Biashara ya Kaboni za mwaka 2022 ili ziweze kuwatambua na kuwanufaisha wakulima na wafugaji nchini. Hayo yamesemwa na Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano…
Serikali yaongeza vituo maalumu 175 vya huduma mahututi kwa watoto wachanga
NAIBU Waziri wa Afya Dkt. Godwin Mollel amesema, Serikali imeongeza vituo vyenye vyumba maalumu kwa ajili ya kutoa huduma kwa watoto wachanga wenye umri kati ya sifuri mpaka mitano wenye hali mahututi (Neonatal Care Unit), kutoka 18 mwaka 2017 kufikia…
Wakala wa meli Tanzania waunga mkono ujio wa DP World
Na Mwandishi Wetu Chama cha Wakala wa Meli Tanzania (TASAA) kimeunga mkono mpango wa Serikali wa kuleta uwekezaji wa kampuni ya DP World kwenye bandari ya Dar es Salaam, kikisema kuwa uwekezaji huo utasaidia kuongeza ufanisi wa bandari na kukuza…