JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Wanawake watakiwa kuwafichua wanaotumia silaha kinyume cha sheria

Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma Mkuu wa Mtandao wa Polisi Wanawake Tanzania,Kamishna Msaidizi wa Polisi (ACP) Eva Stesheni amewataka wananchi kuchukua hatua dhidi ya silaha zinazozagaa mitaani na kutumika kinyume na taratibu ili kuweiweka jamii salama. Ameeleza hayo wakati akitoa…

DRC Kongo kujifunza uongezaji thamani madini Tanzania

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia Afisa Biashara kutoka Ubalozi wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo Nchini Bw. Marcel Kasongo Yampanya amewasilisha nia ya Serikali ya Kongo kuleta Vijana wengi nchini Tanzania kujifunza Uongezaji Thamani wa Madini ya Vito katika Kituo cha…

Koka: Shule ziandae wanafunzi katika ushindani kwenye soko la kitaifa na kimataifa

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia,Kibaha Mbunge wa Jimbo la Kibaha Mjini Silvestry Koka amezitaka, Shule za Msingi kuandaa wanafunzi ambao watashindana kwenye soko la kitaifa na kimataifa kwa faida ya Maisha yao baadae na kuzingatia utamaduni wa Kitanzania. Aidha amewaasa wazazi…

Bandari ya Kilwa kuchochea uchumi

Na Immaculate Makilika – MAELEZO Bandari ya Kilwa iliyopo mkoani Lindi imekua ikitumika zaidi kwa shughuli za utalii na kwa kiasi kidogo shughuli za uvuvi. Kwa kuwa mkakati wa Serikali ni kukuza sekta za uvuvi na utalii nchini, imeanza kutekeleza…

Upasuaji wa kwanza tundu dogo moja wafanyika Muhimbili

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), imefanikiwa kufanya upasuaji wa kwanza wa kifua kwa mgonjwa ili kuondoa uvimbe kwenye pafu kutumia tundu dogo moja uliowashirikisha watalaamu wazalendo ukiongozwa na Bingwa wa Upasuaji Kifua Duniani na mgunduzi wa…

NMB yashinda kwa mara nyingine tuzo ya ufadhili wa wajasiriamali Afrika

Benki ya NMB imetunukiwa tena tuzo na jukwaa la kufadhili ujasiriamali duniani (SME Finance Forum) kutokana na huduma zake wezeshi na ufadhili wake wa kuwaendeleza wafanyabiashara wadogo na wa kati nchini wakati wa mkutano wa jukwaa hilo uliofanyika September 14…