JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Wakulima wapewa elimu ya usawa wa kijinsia

Na Rahma Khamis, JamhuriMedia, MAELEZO Wajasiriamali wa kilimo cha mboga mboga mboga na matunda wametakiwa kushiriki katika miradi mbalimbali ya kimaendeleo ili kujikwamua kiuchumi. Akizungumza wakati wa mafunzo ya kuwajengea uwelewa wakulima wa viungo mboga mboga na matunda kuhusiana na…

Serikali yawatahadharisha wananchi Iringa kutembea usiku

Serikali imewatahadharisha Wananchi Mkoani Iringa kuacha kutembea usiku ili kuepukana na madhara ya kuvamiwa na Simba walioingia katika makazi ya watu. Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Mary Masanja (Mb) ameyasema hayo leo jijini Dodoma alipokuwa akijibu swali la…

Wahariri wapewa mafunzo ya sheria na kanuni za ulinzi kwa watoa taarifa na mashahidi

………………………………………………………………………………………………………………………………….. Na Lusajo Mwakabuku,JamhuriMedia,Singida Wizara ya Katiba na Sheria imeendesha mafunzo kwa wahariri na wanahabari waandamizi wa vyombo mbalimbali vya habari juu ya Sheria ya kuwalinda Watoa Taarifa za Uhalifu na Ulinzi wa Mashahidi, Sura ya 446 (The Whistleblower and…

Rais Samia aitaka jamii iwajibike katika malezi ya watoto

Na Mwandishi wetu JAMHURI MEDIA, Arusha. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu ametoa wito kwa wazazi, walezi pamoja na jamii kuwajibika katika kufuatilia mienendo ya watoto ili kubaini mabadiliko hasi ya kitabia yanapojitokeza. Rais Samia amesema hayo…

Rais Samia apewa tuzo kwa mchango wake katika mapambano dhidi ya dawa za kulevya

Na Mwandishi Wetu JAMHURI MEDIA, Arusha PACHA:Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan amepewa Tuzo na Mamlaka ya Kudhibiti na kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) Tuzo hiyo imetolewa leo Juni 25,2023 kwa Rais Samia ikiwa…