Author: Jamhuri
Watendaji sekta ya afya wanaokwamisha maono ya rais hawatafumbiwa macho
Na Mwanfishi Wetu. JamhuriMedia, Mwanza Serikali Kanda ya Ziwa imesema haitawafumbia macho watendaji wa sekta ya afya wanaokwamisha jitihada za Rais Dk. Samia Suluhu Hassan katika maboresho sekta ya afya. Akizungumza leo Mei 19, 2023 katika kikao kazi cha watendaji…
Mpango mkakati wa mazingira mbioni kukamilika
Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma. Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano Na Mazingira) Khamis Hamza Khamis amesema Serikali ipo kwenye hatua za mwisho za kukamilisha Mpango Mkakati wa kutoa Elimu kwa Umma wa miaka mitano (2022/23-2026/27) kuhusu mazingira….
Fisi wanaovamia makazi ya watu kusakwa Karatu
Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia,Dodoma Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii Mary Masanja amewaelekeza Askari wa Uhifadhi Kanda ya Kaskazini kuanza zoezi la kusaka fisi wanaovamia makazi ya watu katika Halmashauri ya Wilaya ya Karatu. Ameyasema hayo leo Bungeni jijini Dodoma…