JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Wanajeshi 36 wauawa Nigeria

Takriban wanajeshi 36 wa Nigeria wameuwawa katika mashambulizi mawili wakati wa operesheni dhidi ya magenge yenye silaha huko katika jimbo la kaskazini ya kati la Niger. Wanajeshi hao wameuawa kufuatia mashambulizi mawili wakati wa operesheni dhidi ya magenge yenye silaha…

Wakulima walalamika kutolipwa pesa za korosho Lindi

Na Aziza Nangwa, JamhuriMedia Wakazi wa kijiji cha Pande plot wilayani Kilwa mkoani Lindi wamelalamika kutolipwa pesa za korosho za msimu uliopita. Akizungumza na JAMHURI DIGITAL kwa niaba ya wenzake Said Danga amesema,hawajalipwa malipo ya korosho na hawana tarifa zozote…

DAS Songea aitaka jamii kujitokeza zoezi la unyweshaji wa kinga tiba ya usubi

Na Cresensia Kapinga, Jamhuri, Songea Katibu Tawala Wilaya ya Songea mkoani Ruvuma Mtela Mwampamba, ameitaka jamii kujitokeza kwa wingi katika zoezi la unyweshaji wa kinga tiba ya Usubi, magonjwa ambayo hayapewi kipaumbele na yamekuwa yakiwaathiri sana jamii maskini. Hayo ameyasema…

NEC yatoa vibali kwa taasisi na asasi kutoa elimu na kutazama uchaguzi mdogo

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Tume ya Taifa ya Uchaguzi imetoa vibali vya kutoa Elimu ya Mpiga Kura katika Uchaguzi Mdogo wa Ubunge jimbo la Mbarali na kata sita za Tanzania Bara kwa asasi tatu za kiraia. Taarifa ya Tume…

TMDA iongeze nguvu kudhibiti bidhaa feki za dawa zinazoingia nchini

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Mwenyekiti wa kamati ya Kudumu ya Bunge ya Afya na Masuala ya UKIMWI Stanslaus Nyongo ameitaka Mamlaka ya Dawa na Vifaa Tiba (TMDA) kuongeza nguvu ya kudhibiti bidhaa feki za dawa zinazoingia nchini Tanzania. Mwenyekiti…