JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

NMB wampongeza Spika wa Bunge kwa kuteuliwa kuwa Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU)

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU) Dkt. Tulia Ackson amekutana na kufanya mazungumzo na Viongozi kutoka Benki ya NMB wakiongozwa na Afisa Mtendaji Mkuu wa Benki hiyo, Ndg. Ruth…

Wanaharakati watakiwa kupambana na mfumo dume kuanzia ngazi za kaya

Na Zulfa Mfinanga, Jamhuri Media,Dar es Salaam Wanaharakati wa jinsia wametakiwa kuhakikisha kuwa elimu ya Usawa wa Kijinsia pamoja na elimu ya haki sawa inatolewa kuanzia ngazi ya familia kwa kuwashirikisha watu wote bila kubagua ili kila mmoja ndani ya…

Kapinga : REA ongezeni kasi ya kuunganisha umeme wananchi katika vijiji vyenye umeme

Ataka wasimamizi wa miradi ya REA kuongeza ufanisi Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Judith Kapinga amewaagiza Wakala wa Nishati Vijijini (REA) kuongeza kasi ya kuwaunganishia umeme wananchi vijijini katika maeneo ambayo tayari yamefikiwa na miradi ya usambazaji umeme ili miradi…

Waziri Silaa apania kumaliza migogoro ya ardhi Jiji la Dodoma

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma WAZIRI Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Jerry Silaa amesema Wizara yake itahakikisha kero zote za migogoro ya ardhi zinakwisha katika Jijini la Dodoma ikiwa ni hatua muhimu ya utekelezaji rasmi maagizo ya Rais Dkt….