JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Ridhiwani awaasa wana-Chalinze kuondoa tofauti, kukimbilia maendeleo

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia,Chalinze Mbunge wa Jimbo la Chalinze, Ridhiwani Kikwete amewaasa Wanachalinze kuondoa tofauti ili kufikia maendeleo ya kweli wanayoyahitaji. Ridhiwani ambae pia ni Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Utumishi na Utawala Bora alitoa rai hiyo wakati,…

Dkt.Mpango: Serikali kuondoa changamoto zinazowakabili wakulima

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Philip Mpango amesema serikali itahakikisha inaondoa changamoto za wakulima katika msimu mpya wa kilimo ikiwemo kusogeza huduma za mbolea ya ruzuku katika maeneo ya jirani zaidi na wakulima. Makamu wa…

Zambia yavutiwa na mfumo wa masoko ya madini nchini

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia Sekta ya Madini nchini Tanzania imekuwa mfano wa kuigwa kwa nchi nyingi za Afrika kwa namna ilivyoweza kurasimisha sekta ndogo ya uchimbaji madini na hivyo kupelekea wachimbaji wadogo kufanya shughuli zao kupitia mfumo ulio rasmi ambapo…

TANAPA kulipisha wanaotumia majina ya wanyama

Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, DodomaKAMISHNA wa Uhifadhi ,Hifadhi za Taifa Tanzania ( TANAPA ) William Mwakilema amesema mtu yeyote anayetaka mnyama aitwe kwa jina lake atatakiwa kulipia gharama ya kiasi cha shilingi mil.5 ,lakini pia anayetaka kumuasili mnyama atatakiwa kulipia…

Watu 43 wafanyiwa upasuaji Bombo

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia Kambi maalum ya upasuaji wa kurekebisha viungo iliyoanza Julai 17, 2023 katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Tanga ‘Bombo’ imefanikiwa kuwafanyia upasuaji watu 43 kati ya 86 hadi kufikia leo. Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu ametoa…