Author: Jamhuri
CHAUMMA: Tunawaomba wadau,wanachama kukichangia chama ili kufanikisha mikutano yake
Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA) kimewaomba wadau na wanachama wa chama hicho kukichangia chama ili kufanikisha mikutano yake ya hadhara ambayo inatarajiwa kuanza mwishoni mwa mwezi Machi mwaka huu wa 2023. Tamko hilo limetolewa leo Machi 11, 2023 jijini…
Naibu Waziri wa Maji awataka wananchi kutunza vyanzo vya maji Songea
Na Cresensia Kapinga,JamhuriMedia,Songea Naibu Waziri wa maji mhandisi Maryprisca Mahundi amewataka wakazi wa manispaa ya Songea na vitongoji vyake kuona umuhimu wa kutunza mazingira kwenye vyanzo vya maji ili miradi ya maji inayotekelezwa na serikali iweze kuwa endelevu pamoja na…
Jaji Mkuu ataja faida za majaji na mahakimu wanawake
Magreth Kinabo na Mary Gwera Jaji Mkuu wa Tanzania,Prof. Ibrahim Hamis Juma amefungua Kongamano maalum la kusherehekea Siku ya Majaji na Mahakimu Wanawake Duniani lililoandaliwa na Chama cha Majaji na Mahakimu Wanawake Tanzania (TAWJA) ambapo amebainisha kuwa, uwepo wa Majaji…
Taasisi ya wanawake na diplomasia yampongeza Rais Samia
Taasisi ya Wanawake na Diplomasia, imetoa pongezi kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk.Samia Suluhu Hassan kwa namna anavyoendelea kutumia diplomasia kuifungua nchini katika nyanja mbalimbali ikiwemo ya uchumi na diplomasia. Akizungumza leo jijini Dar es Salaam kwenye…
Tanzania,Namibia zasaini hati za makubaliano ya ushirikiano
Windhoek, Namibia, 10 Machi 2023 Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Jamhuri Namibia zimesaini Hati za Makubaliano ya ushirikiano katika masuala ya usalama, mishati na mashauriano ya kisiasa na kidiplomasia. Hati za Makubaliano hayo zimesainiwa katika Mkutano wa Tatu wa…
Serikali yajipanga kuendeleza michezo sita ya kipaumbele
Na Eleuteri Mangi,JamhuriMedia,Dodoma Serikali imejipanga vema kusimamia na kuendeleza michezo sita ya kipaumbele ya kimkakati ikiwemo mpira wa kikapu ili kuleta tija katika sekta ya michezo nchini. Katibu Mkuu Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo Bw. Saidi Yakubu amesema hayo…