Author: Jamhuri
Paccome aitwa timu ya Taifa Ivory Coast
Na Isri Mohamed Shirikisho la Soka la Ivory Coast limetangaza kumuita kiungo mshambuliaji wa Yanga, Pacome Zouzoua kwenye kikosi cha timu yao ya Taifa. Paccome ameitwa kuchukua nafasi ya kiungo mkabaji wa Nottingham Forest Ibrahim Sangare ambaye amepata majeraha. Ivory…
TAFICO yapongezwa jitihada za kuinua uchumi wa bluu
Na Magrethy Katengu, Jamhuriamedia, Dar es Salaam Kamati ya kudumu ya Bunge ya Viwanda, Biashara,Kilimo na Mifugo imelipongeza Shirika la Uvuvi Tanzania (TAFICO) kwa jitihada wanazozifanya za ukarabti wa miundombinu ili kusaidia kuinua uchumi wa bluu kupitia sekta ya uvuvi….
Huu hapa mkakati wa kudumu Serengeti
*Wadau wa uhifadhi, maendeleo kuibadili Mugumu kuwa ‘Serengeti Smart City’ *Iwapo Dodoma itaidhinisha mpango huu, Senapa itabaki kileleni daima Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mara Kwa miaka mitatu mfululizo, Hifadhi ya Taifa ya Serengeti (Senapa) imetajwa kuwa miongoni mwa sehemu bora…
Mchengerwa atoa miezi saba kwa DART kumpata mwekezaji binafsi
OR-TAMISEMI Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Mohammed Mchengerwa ameielekeza Wakala wa Mabasi yaendayo haraka (DART) kufikia mwezi Oktoba 2024 iwe imempata mwekezaji binafsi ambaye ni mtoa huduma wa mabasi hayo ili…
RC mpy Shinyanga ataka elimu itolewe kwa wananchi kuacha kucheza kamali
Na Suzy Butondo, JamhuriMedia, Shinyanga Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Annamlingi Macha amewataka viongozi na wataalamu kutoa elimu kwa wananchi wa Mkoa wa Shinyanga kuacha kucheza kamali na kushinda kwenye kahawa, badala yake wathamini muda kwa kufanya kazi kwa bidii,…





