JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

TAKUKURU Kilindi yawafikisha mahakamani watumishi wa halmashauri

Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Wilaya ya Kilindi Mkoani Tanga, imewafikisha katika mahakama ya Wilaya ya Kilindi watumishi watatu wa Halmashauri ya Wilaya ya Kilindi waliopewa kazi ya ukusanyaji wa mapato kwa kutumia mashine za POS. Waliofikishwa…

Wanawake watano wafanyiwa upasuaji kupitia matundu madogo

Hospitali ya Taifa Muhimbili kwa kushirikiana na wataalamu wa Alsalam Internatinal Hospital ya nchini Misri, imefanya kambi ya upasuaji wa kupitia matundu madogo (Laparoscopy surgery) kwa muda wa siku mbili, ambapo wanawake watano wamenufaika na matibabu hayo. Akizungumza wakati wa…

FCF kutumia bil.1.2/-kusaidia miradi ya maendeleo na kutoa chakula shuleni

Na Mwandishi Wetu, Jamhuri Media, Arusha Taasisi ya Friedkin Conservation Fund(FCF) imepanga kutumia kiasi cha sh 1.2 bilioni ili kugharamia miradi ya maendeleo ya jamii, ikiwepo ya Elimu na Afya ambayo haikinzani na uhifadhi wa wanyamapori na Misitu, wilayani Meatu…

Tanzania yafungua rasmi ubalozi wake jijini Jakarta, Indonesia

Akizungumza katika hafla ya uzinduzi wa Ubalozi huo, Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Dkt. Stergomena Tax (Mb.) amesema kufunguliwa kwa Ubalozi huo kutaziwezesha Serikali ya Tanzania na Serikali ya Indonesia kukuza na kuimarisha uhusiano…

‘Fichua wakwepa kodi,upate asilimia tatu’

Na Zulfa Mfinanga, JamhuriMedia ,Arusha Ili kuhakikisha kodi ya Serikali inatozwa pasipokuacha mianya ya ukwepaji, Mamlaka ya Mapato nchini (TRA), imekuja na sheria ya kutoa kamisheni ya asilimia tatu kwa mtu atakayefanikisha kupatikana kwa kodi iliyokwepwa. Akizungumza kwenye semina ya…