JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Rais Samia awatakia Kwaresma njema Wakristo wote

Rais wa Jamahuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassani amewatakia Kwaresma njema Wakristo wote na kuwataka kuendelea kuiombea nchi na Dunia nzima amani na upendo.

Mwili wa Mwai Kibaki huenda ukafukuliwa

Kituo cha televisheni cha KTN kimeripoti kwa undani taarifa hiyo ya mahakamani ambapo watu hao wawili wameieleza mahakama kuwa wao ni watoto halali wa Kibaki hivyo wanastahili urithi wa mali alizoziacha. Kibaki alifariki dunia mnamo mwaka 2022 na kuacha watoto…

Serikali yaipa kibali AECOP ujenzi wa bomba la mafuta ghafi nchini

Wizara ya Nishati imekabidhi kibali cha ujenzi  wa bomba la mafuta ghafi la Afrika Mashariki kwa kampuni ya EACOP Tanzania ambapo itaanza utekelezaji wa ujenzi wa kipande cha kutoka Mtukula hadi  Chongoleani Mkoani Tanga. Akizungumza wakati wa hafla ya kukabidhi…

Walengwa wa TASAF wahimizwa kuchangia asilimia 10 kuwezesha ukamilishaji miundombinu

Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Deogratius Ndejembi amewataka walengwa wa TASAF Wilayani Makete kuchangia nguvu kazi yao ya asilimia 10 ili kuwezesha ukamilishaji wa miradi ya TASAF ya ujenzi wa miundombinu kwa…

Serikali yaondoa ukomo matumizi ya vitambulisho vya NIDA

Serikali imetangaza kuondoa ukomo wa matumizi ya Vitambulisho vya Taifa (Nida) vilivyomalizika muda wake kufuatia mabadiliko ya Kanuni za Usajili na Utambuzi wa Watu za mwaka 2014. Hayo yamesemwa leo Februari 21, 2023 na Waziri, Mambo ya Ndani ya Nchi…

Rais Samia aiongezea thamani minada, atoa bil.5.9/-

Na. Edward Kondela,JamhuriMedia,Arusha Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ametoa Shilingi Bilioni 5.9 kwa mwaka wa fedha 2022/23 kwa ajili ya ujenzi wa minada mipya na ukarabati wa minada ya zamani ili kuboresha usalama wa mifugo. Naibu Waziri wa Mifugo na…