Author: Jamhuri
Marekani yatenga fedha kupambana na UKIMWI nchini
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Angellah Kairuki amesema Serikali ya Marekani kupitia Mpango wa Dharura wa Rais wa Marekani wa Kupambana na Ukimwi (PEPFAR) imetenga dola za Marekani milioni 450 kwa ajili…
Zanzibar kunufaika na biashara ya kaboni
Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Khamis Hamza Khamis amesema Zanzibar inatarajia kunufaika na Biashara ya Kaboni wakati wowote kuanza sasa. Amesema hayo leo Juni 13, 2023 bungeni jijini Dodoma wakati akijibu maswali ya Mbunge wa…
Mwijuma aikabidhi Yanga Kombe la Shirikisho la Azam Sports
Na Eleuteri Mangi, JamhuriMedia,Tanga Naibu Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Hamis Mwinjuma ameikabidhi Klabu ya Yanga Kombe la Shirikisho la Azam Sports mara baada ya kuifunga timu ya Azam kwa kwa 1-0. Finali hiyo imeikutanisha miamba hiyo ya soka…