Author: Jamhuri
Mkutano wa AGRF Kuinufaisha Tanzania
Na Alex Kazenga, Jamhuri Media, Dar es Salaam Mkutano wa Jukwaa la Mfumo wa Chakula Afrika (AGRF- Africa Food Systems Summit 2023) unaofanyika nchini katika Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Mwalimu Nyerere (JNICC) kuanzia leo, Septemba 5 hadi 8…
Serikali yaombwa kuwadhibiti wafanyabiashara walioficha mafuta Songea
Na Cresensia Kapinga, JamhuriMedia,Songea Waendesha bodaboda na vyombo vingine vya moto wameomba Serikali ione umuhimu wa kuchukuwa hatua za haraka kuwadhibiti baadhi ya wafanyabiashara wa vituo vya mafuta katika Halmashauri ya Manispaa ya Songea ambao baada ya kusikia Serikali imevifungua…
Kero ya maji kijiji cha Mpotora, wanakijiji waiangukia Serikali
*Watembea kilomita tano kutafuta maji Na Aziza Nangwa, JamhuriMedia,Lindi Wanakijiji cha wa Mpotora Wilaya ya Kilwa, Kata ya Pande Plot ,wameiomba serikali kuwapatia maji safi na salama. Akizungumza na JAMHURI kwa niaba ya wenzake Selemani Hamza amesema kijiji chao, kimekuwa…
Lake Energies yazindua kampeni ya ‘Kumtua Mama Kuni Kichwani’
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia MAKUMI elfu ya akina mama na familia zao wa mikoa mitano ya Dodoma, Morogoro, Mwanza, Arusha na Geita, watanufaika na kampeni iliyozinduliwa jijini Dodoma na kampuni ya Lake Energies Group iliyopewa jina la ‘Tumtue Mama Kuni…
Tanzania ya tano kwa idadi kubwa ya wagonjwa wa Selimundu duniani
Tanzania imetajwa kuwa nchi ya Tano Kwa idadi kubwa ya wagonjwa wa selimundu (Sickle Cell) Duniani ambapo Kwa utafiti uliofanywa na Chuo Kikuu Cha Sayansi na Tiba Shirikishi (MUHAS) katika mikoa mitano ambapo zaidi ya wagonjwa 70000 wanapatiwa huduma katika…