JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Wabunge wafurahishwa utekelezwaji mradi wa bomba la mafuta ghafi EACOP

Wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wameusifu mradi wa bomba la Mafuta Ghafi la Afrika ya Mashariki (EACOP) kwa kutoa fidia nzuri kwa waliopitiwa na mradi huo na kutoa kipaumbele katika maeneo mengine ikiwemo utunzaji wa mazingira….

Bashungwa awakabidhi majenerali wastaafu magari mapya

Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Mheshimiwa Innocent Lugha Bashungwa (Mb) amewakabidhi Magari Mapya, Jenerali George Marwa Waitara (Mstaafu) pamoja na Jenerali Robert Philemon Mboma (Mstaafu) tukio lililofanyika Ofisi za Wizara, Mtumba Jijini Dodoma. Akikabidhi Magari hayo, Mheshimiwa…

Majeruhi18 wa ajali ya uwanja wa Mkapa

Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana amewajulia hali majeruhi 10 wanaoendelea kupatiwa matibabu katika Hospitali ya Wilaya Temeke waliojeruhiwa kutokana na tukio la kukanyagana katika Uwanja wa Benjamin Mkapa wakati wakijiandaa kuingia kutazama mechi kati…

Chongolo ahitimisha ziara yake wilayani Mufindi mkoani Iringa

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi Ndugu Daniel Chongolo, Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Iringa Ndugu Daud Yasin (kulia) na Mbunge wa Jimbo la Mufindi Kusini (CCM), David Mwakiposa Kihenzile pamoja na Viongozi na wanachama wengine wakitembea kwa miguu kuelekea…

Yanga yashindwa kufurukuta mbele ya USM Alger

Klabu ya Yanga imeshindwa kufurukuta mbele ya wapinzani wao USM Alger ya nchini Algeria baada ya kuokea kichapo cha mabao 2-1 kwenye mchezo ambao ulipigwa kwenye dimba la Benjamini Mkapa Jijini Dar es Salaam. Licha Yanga kuutawala mchezo katika kipindi…