JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

NMB yashiriki wiki ya ubunifu 2023 Dodoma

Meneja wa Benki ya NMB Kanda ya Kati – Nsolo Mlozi akimueleza Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Rosemary Senyamule alipotembelea banda lao kuhusu masuluhisho yao ya kidijitali katika viwanja vya Jamhuri jijini Dodoma. Wafanyakazi wa benki ya NMB wakiwa kwenye…

Rais Samia amwandalia Rais Kagame chakula cha jioni Ikulu jijini Dar

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Wageni mbalimbali waliofika kwenye hafla ya chakula cha jioni alichomuandalia mgeni wake Rais wa Rwanda Mhe. Paul Kagame, Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 27 Aprili, 2023…

Majaliwa:Itumieni kampeni ya huduma ya msaada wa kisheria ya mama Samia

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amewataka Watanzania kuitumia kampeni ya Huduma ya Msaada wa Kisheria ya Mama Samia kutoa taarifa kuhusu uwepo wa watu, au vikundi vya watu ambao ama wanajihusisha na ukatili wa kijinsia hususan kwa watoto. Ametoa wito huo…

Rais Paul Kagame alipowasilia jijini Dar leo

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Rais wa Rwanda Mhe. Paul Kagame mara baada ya Kuwasili katika ukumbi wa Kikwete, Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 27 Aprili, 2023. Rais wa Jamhuri ya…

Balile:Tunaamini upatikanaji sheria rafiki kwa wanahabari ni ya kidiplomasia

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF),linaamini kuwa njia bora ya kupigania upatikanaji sheria rafiki kwa vyombo vya habari ni ya kidiplomasia. Hayo yamesemwa na mwenyekiti wa jukwaa hilo Deodatus Balile,wakati wa mkutano wa mtandaoni (online meeting) uliofanyika…

Maamuzi magumu ya Rais yalivyookoa Watanzania 200 Sudan

*Aagiza operesheni maalumu iliyofanikisha kuwarejesha Watanzania nyumbani * Tanzania pia ilisaidia kuokoa raia wa mataifa mengine, ikiwemo Marekani, Uingereza, Kenya, Uganda, Sierra Leone, Malawi, Zambia na Msumbiji Ujasiri, maamuzi magumu na ya haraka ya Rais Samia Suluhu Hassan yamefanikisha kuokolewa…