Skip to main content
JAMHURI MEDIA
Tunaanzia wanapoishia wengine
Home
Kitaifa
Biashara
Siasa
Uchumi
Kimataifa
Makala
Siasa
Uchumi
MCHANGANYIKO
Michezo
Burudani
Kazi/Ajira
Gazeti La Jamhuri
Sitanii
JAMHURI YA WAUNGWANA
Nyundo ya Wiki
Search
March 16, 2024
Habari Mpya
Rais Samia ahudhuria futari iliyoandaliwa na viongozi Zanzibar
Jamhuri
Comments Off
on Rais Samia ahudhuria futari iliyoandaliwa na viongozi Zanzibar
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye Futari aliyowaandalia viongozi pamoja na wageni mbalimbali Ikulu Tunguu Zanzibar tarehe 15 Machi, 2024.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi kwenye Futari aliyowaandalia viongozi pamoja na wageni mbalimbali Ikulu Tunguu Zanzibar tarehe 15 Machi, 2024.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh Saleh Omar Kaabi wakati wa Futari aliyowaandalia viongozi pamoja na wageni mbalimbali Ikulu Tunguu Zanzibar tarehe 15 Machi, 2024.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh Saleh Omar Kaabi wakati wa Futari aliyowaandalia viongozi pamoja na wageni mbalimbali Ikulu Tunguu Zanzibar tarehe 15 Machi, 2024. Kushoto ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi
Wageni mbalimbali wakiwa kwenye Futari iliyoandaliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan katika viwanja vya Ikulu Tunguu Zanzibar tarehe 15 Machi, 2024.
Post Views:
377
Previous Post
Rais Samia ateua, atengua viongozi
Next Post
Makarani waongozaji wa uchaguzi wafundwa Kibaha
Wakazi zaidi ya 1,000 Mpiji Magoe kunufaika na huduma ya majisafi
Rais Samia azungumza na Mjumbe Maalum wa Rais wa Djibouti Ikulu jijini Dar
Mitaala 21 ya TEHAMA vyuoni yahakikiwa
Bunge laipongeza Tume ya Tehama kukipeleka Kiswahili duniani
Tanzania kuanza kuzalisha kompyuta
Habari mpya
Wakazi zaidi ya 1,000 Mpiji Magoe kunufaika na huduma ya majisafi
Rais Samia azungumza na Mjumbe Maalum wa Rais wa Djibouti Ikulu jijini Dar
Mitaala 21 ya TEHAMA vyuoni yahakikiwa
Bunge laipongeza Tume ya Tehama kukipeleka Kiswahili duniani
Tanzania kuanza kuzalisha kompyuta
Haya hapa matokeo kidato cha nne 2024/2025
Trump apanga kuwekeza katika akili mnemba
ACT Wazalendo yampongeza Lissu kwa ushindi
TMA: Mwaka 2024 umevunja rekodi kwa kuwa na joto kali duniani
Diaspora kushirikiana na Serikali kuchangamkia fursa
Rais Dkt. Samia awasili Dar akitokea Dodoma kwa usafiri wa Treni ya Umeme ya (SGR)
Noti mpya za fedha kuanza kutumika Februari 1,2025
Benki Kuu yanunua tani 2.6 za dhahabu inayochimbwa nchini – Waziri Mavinde
Watakia kuchukua vitambulisho vyao NIDA
Rais Dkt. Samia azungumza na viongozi mara baada ya kuwaapisha Majaji Ikulu Dodoma