Author: Jamhuri
Mwalimu mbaroni kwa kumjeruhi kwa fimbo mwanafunzi akimtuhumu kuiba maandazi
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Mbeya Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya linamshikilia mwalimu wa shule ya Sekondari Loiler iliyopo Mji Mdogo wa Mbalizi mkoani Mbeya,Peter Emmanuel (29),kwa tuhuma za kumshambulia fimbo mwanafunzi kwa madai ya kuiba maandazi matano. Kamanda wa Polisi Mkoa…
Jamii yatakiwa kushirikiana na walimu ili kuboresha taaluma
Na OMM Rukwa Jamii imetakiwa kutoa ushirikiano kwa walimu ili kuleta ufanisi utakaochangia kuboresha taaluma ya wanafunzi wa madarasa ya awali na la kwanza kwenye shule za msingi za umma . Kauli mbalimbali zimetolewa jana na walimu wanaoshiriki mafunzo ya…
AAFP yaiangukia Serikali mfumuko wa bei
Na Mussa Augustine,JamhuriMedia Chama Cha Wakulima (AAFP), kimeishauri serikali kudhibiti usafirishaji wa chakula nje ya nchi ili kuzuia mfumuko wa bei na uhaba wa vyakula nchini. Rai hiyo imetolewa jiijini Dar es Salaam leo Februari 15,2023 na Mwenyekiti Taifa wa…
Kukatika kwa umeme, kero ya maji vyawaibua madiwani Pwani
Na Mwamvua Mwinyi,Kibaha Upungufu wa maji na kukatikakatika kwa Nishati ya Umeme ,imekuwa gumzo na kilio kwa Madiwani wa Kibaha Mjini katika baraza la madiwani ,na kudai ni kero ya muda mrefu iliyo na ukakasi kwenye ufumbuzi wake. Agustino Mdachi…
Timu ya Majimaji bado kioo cha Mkoa wa Ruvuma
Majimaji ni miongoni mwa timu maarufu za soka hapa nchini ambayo ina historia ndefu ukiachia timu za Simba na Yanga ambazo zimedumu kwa muda wote zikicheza ligi kuu bara na kuwa na wapenzi lukuki kila kona ya nchi yetu. Hakuna…
Majaliwa:Jiridhisheni na miradi ilingane na thamani ya fedha iliyotolewa
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema Serikali imefanya kazi kubwa ya kuhakikisha inatekeleza miradi mbalimbali ya maendeleo kwa wananchi, hivyo ni jukumu la viongozi kuikagua na kujiridhisha kama utekelezaji wake unafanyika kwa viwango vilivyokusudiwa na unalingana na thamani…