JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Ushirikiano wa Tanzania na Afrika Kusini kuimarika kupitia sekta ya utamaduni, sanaa na michezo

Ujumbe wa Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo ya Tanzania ukiongozwa na Katibu Mkuu Bw. Saidi Yakubu wamekutana na kufanya kikao cha pamoja na Wizara ya Michezo, Sanaa na Utamaduni ya Afrika Kusini na kubadilishana uzoefu ili kuboresha sekta hizo…

Madaktari bingwa 10 waliokuwa India waja na shuhuda nzito kuhusu utalii tiba

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia Madaktari bingwa wa upasuaji wa ubongo wameendelea kuongezeka katika Taasisi ya Mifupa (MOI) na kufikia 16 hali ambayo imeendelea kuifanya Tanzania kuwa kivutio cha utalii tiba Kusini mwa Jangwa la Sahara. Madaktari hao walikuwa India kwa…

Jokate apokea vifaa tiba kwa ajili ya Hospitali ya Wilaya ya Korogwe

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Korogwe Mkuu wa Wilaya ya Korogwe, mkoani Tanga Jokate Mwegelo amelishukuru Shirika la Lions Club International katika juhudi zake za kuungana na Serikali katika kuboresha huduma ya afya wilayani humo . Jokate ameyasema hayo wakati akikabidhiwa…

Rais Samia agawa hekari 5,520 kwa wananchi Bagamoyo, Kibaha

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani Rais Samia Suluhu Hassan,amegawa ardhi hekari 5,520 kwa Wananchi wa Wilaya za Bagamoyo na Kibaha. Hayo yamesemwa na David Silinde Naibu Waziri wa Wizara ya Mifugo na Uvuvi wakati wa makabidhiano ya ardhi  iliyokuwa sehemu…

Tanzania yaimarisha mapambano dhidi ya ugaidi, utakatishaji fedha haramu

Katika kupambana na vitendo vya ugaidi na utakatishaji fedha haramu, Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Wizara ya Katiba na Sheria imezindua mwongozo wa ushirikiano wa wadau katika upelelezi, uratibu na kupambana na makosa hayo. Akizungumza mara baada…

TMA yatoa taarifa mwelekeo msimu wa kipupwe, joto kiasi

Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetoa taarifa ya msimu wa kipupwe katika kipindi cha Juni hadi Agosti (JJA) 2023 ambapo kinatarajiwa kuwa na hali ya joto kiasi hadi baridi ya wastani katika maeneo mengi ya nchi. Taarifa hiyo…