Author: Jamhuri
Waziri wa Mambo ya Nje Norway awasili nchini kwa ziara
Waziri wa Mambo ya Nje wa Norway anayeshughulikia masuala ya Ushirikiano wa Maendeleo ya Kimataifa na nchi za Nordic,Anne Beathe Tvinnereim amewasili nchini leo kwa ziara ya kikazi ya siku tatu kuanzia tarehe 6 – 8 Septemba 2022 na kupokelewa…
Serikali kuja na mapendekezo ya sheria mpya ya usimamizi wa maafa
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia Serikali imeandaa mapendekezo ya kutungwa kwa sheria mpya ya usimamizi wa maafa ili kuweka mfumo wa udhibiti na uratibu wa maafa kwa ajili ya hatua za kuzuia na kupunguza madhara ya majanga, kujiandaa kukabili na kurejesha hali…
Mabula: Msifanye kazi kwa mazoea,mnaharibu utendajikazi wenu
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Dar Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt. Angeline Mabula amemuelekeza Katibu wa Wizara hiyo kuhakikisha anaanza kuchukua hatua mara moja kwa Makamishna wasaidizi wa ardhi wale walioshindwa kukidhi matarajio pamoja na wasaidizi wao. Aliyasema hayo…