Author: Jamhuri
Makamu wa Rais wa Marekani awasili nchini Kamala Harris
Picha mbalimbali zikionesha Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Mpango akimpokea Makamu wa Rais wa Marekani Kamala Harris alipowasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere Jijini Dar es Salaam leo tarehe 29…
Mvua yaikosesha mikoa 6 safari za treni
Na Mwandishi Wetu, JAMHURI MEDIA Shirika la Reli Tanzania (TRC) limesitisha safari zake katika mikoa sita hapa nchini kutokana na mvua zinazoendelea kuonyesha katika maeneo mbalimbali. Mikoa itakayoathiriwa na uamuzi huo wa TRC ni Dar es Salaam kuelekea mikoa ya…
Rais Samia:Vyombo vya habari vifanye kazi bila woga
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Morogoro Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye ametoa salamu za Rais Samia Suluhu Hassan akivitaka vyombo mbalimbali vya habari Tanzania kufanya kazi kitaaluma bila woga, upendeleo na uonevu. Waziri Nape ametoa salamu…
Rais Samia akipokea taarifa ya CAG na TAKUKURU
Dar es Salaam, JAMHURI MEDIA Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akipokea Ripoti ya Ukaguzi wa Hesabu za Serikali kwa Mwaka 2021/2022 kutoka kwa Charles Kichere, Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) pamoja…
Majeruhi ajali ya mwendokasi aruhusiwa kutoka hospitali
Na Tatu Saad JAMHURI MEDIA Majeruhi pekee wa ajali ya bus la Mwendokasi iliyotokea mnamo Februari 22 mwaka huu jijini Dar es Salaam, Osam Milanzi ameruhusiwa kutoka hospitali baada ya afya yake kuwa timamu. Milanzi alifikishwa katika hospitali ya Taifa…





