Rais Samia atembelea na kukagua daraja la JP Magufuli
JamhuriComments Off on Rais Samia atembelea na kukagua daraja la JP Magufuli
Muonekano wa Daraja la Daraja la JP Magufuli (Kigongo-Busisi km 3) linalounganisha Wilaya za Misungwi na Sengerema Mkoani Mwanza ambalo Ujenzi wake umefikia asilimia 75 na unatarajiwa kukamilika mwezi Februari, 2024.