KitaifaRais Samia azindua mkutano wa wakuu wa nchi za Afrika (Africa Heads of State Human Capital Summit) Jamhuri10 months ago10 months ago02 mins Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akibonyeza Kitufe kuashiria uzinduzi wa Mkutano wa Wakuu wa Nchi za Afrika kuhusu Rasilimali watu (Africa Heads of State Human Capital Summit) katika Ukumbi wa Julius Nyerere Convention Centre (JNICC) Jijini Dar es Salaam tarehe 19 Mei, 2023. Mkutano wa Wakuu wa Nchi za Afrika kuhusu Rasilimali Watu unatarajiwa kufanyika tarehe 25-26 Julai, 2023 Jijini Dar es Salaam. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Viongozi, Mabalozi pamoja na Wageni mbalimbali kutoka Nje ya nchi kabla ya kuzindua Mkutano wa Wakuu wa Nchi za Afrika kuhusu Rasilimali watu (Africa Heads of State Human Capital Summit) katika Ukumbi wa Julius Nyerere Convention Centre (JNICC) Jijini Dar es Salaam tarehe 19 Mei, 2023. Mkutano wa Wakuu wa Nchi za Afrika kuhusu Rasilimali Watu unatarajiwa kufanyika tarehe 25-26 Julai, 2023 Jijini Dar es Salaam. Viongozi, Mabalozi pamoja na Wageni mbalimbali kutoka Nje ya nchi wakiwa kwenye uzinduzi wa Mkutano wa Wakuu wa Nchi za Afrika kuhusu Rasilimali watu (Africa Heads of State Human Capital Summit) katika Ukumbi wa Julius Nyerere Convention Centre (JNICC) Jijini Dar es Salaam tarehe 19 Mei, 2023. Mkutano wa Wakuu wa Nchi za Afrika kuhusu Rasilimali Watu unatarajiwa kufanyika tarehe 25-26 Julai, 2023 Jijini Dar es Salaam. Post Views: 21 Post navigation Previous: Watendaji sekta ya afya wanaokwamisha maono ya rais hawatafumbiwa machoNext: Rais Mstaafu Kikwete aongoza harambee ya GGML KILL Challenge
Waziri Riziki : Wanawake Tanzania wamewezeshwa manunuzi ya umma kielektroniki Jamhuri2 days ago2 days ago 0
Mafanikio ya ziara ya Rais Samia aliyofanya Doha nchini Qatar na New Delhi India Jamhuri6 months ago6 months ago 0