Author: Jamhuri
Mgombea ajiondoa kwenye uchaguzi kwa kuwaogopa wajumbe
Na Mwandishi Wetu,JmahuriMedia,Babati Mmoja kati ya wagombea wa nafasi ya uwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Babati vijijini Ezekiel Dangalo ameamua kujitoa katika uchaguzi kwa madai ya kuwa na hofu ya kushindwa baada ya kushindwa katika uchaguzi wa awali. “Nimeamua…
Watu 13 wakamatwa Shinyanga kwa tuhuma za kuhujumu miundombinu ya TANESCO
Jeshi la Polisi Mkoa wa Shinyanga limewakamata watu 13 wakituhumiwa kuhujumu na kuharibu miundo mbinu ya Shirika la Umeme (TANESCO ) na kulisababishia hasala zaidi ya shilingi milioni 10 kati yao wamo watumishi wawili na wachungaji wa dini wawili. Kwa…
MAIPAC,CANADA kusaidia jamii za pembezoni,wanahabari
Mwandishi wetu,JamhuriMedia,Arusha Taasisi ya Wanahabari wa Kusaidia Jamii za Pembezoni (MAIPAC) inatarajiwa kuwa na mashirikiano na taasisi zisizo za kiserikali za nchini CANADA ili kuwajengea uwezo wanahabari na kusaidia jamii ya Pembezoni. Mkurugenzi wa shirika la MAIPAC, Mussa Juma ametoa…
Serikali yaonya ubadilisha matumizi ya ardhi bila sababu ya msingi
Na Munir Shemweta,JamhuriMedia,Dodoma Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi ,Dkt Angeline Mabula amezionya halmashauri nchini kuacha utaratibu wa kubadilisha matumizi ya ardhi bila sababu za msingi. Dkt.Mabula alitoa onyo hilo Oktoba 1, 2022 jijini Dodoma wakati wa kuhitimisha…