Author: Jamhuri
Waziri Mkuu akagua kazi ya kufufua na kusafisha visima vya maji Dar
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amekagua visima vya dharura vinavyosafishwa, kufufuliwa na kuunganishwa katika mfumo wa usambazaji maji kwa wananchi na kuagiza zoezi hilo pamoja na uchimbaji wa visima katika maeneo mbalimbali liwe endelevu. Majaliwa amekagua visima katika eneo la Tabata…
Nape:Serikali ipo tayari kupeleka mabadiliko ya sheria ya habari Bunge lijalo
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Dodoma Serikali ipo tayari kupeleka mabadiliko ya sheria ya habari bungeni baada ya kikao cha mwisho kukubaliana baadhi ya mapendekezo hayo. Akizungumza na uongozi wa Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF) na Wadau wa Haki ya Kupata Habari (CoRI),…
Mwasa:Tangu enzi za Baba wa Taifa mila zilitumika kuomba mvua
Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Fatma Mwasa ameiagiza Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira MORUWASA,kujenga uzio katika bwawa la Mindu lililopo Manispaa ya Morogoro, ili kudhibiti shughuli za kibinadamu zinazoendelea kufanyika kando mwa bwawa hilo ikiwemo kilimo. Mkuu…
Bil.20/- kulipa watumishi walioondolewa kazini kwa kughushi vyeti
Mfuko wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma (PSSSF),unatarajia kutumia kiasi cha shilingi bilioni 20 kuwalipa watumishi wa Umma waliondolewa kazini kwa kosa la kughushi vyeti Hayo yameelezwa leo Novemba 9,2022 jijini Dodoma na Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa…





