Author: Jamhuri
Taharuki sadaka ya kuchinja
*Mamia ya kondoo yachinjwa, wanafunzi shule za msingi walishwa nyama, wapigwa picha *Wazazi washituka, wazuia watoto wasiende shuleni wakidai ni aina ya kafara isiyokubalika *Mkuu wa Wilaya aingilia kati, aitisha kikao cha dharura Arusha Na Mwandishi Wetu Taharuki imewakumba wazazi…
Mwendokasi wanakufa na tai shingoni
Na Joe Beda Rupia Usipokuwa makini unaweza kudhani mambo ni shwari katika kampuni ya mabasi yaendayo haraka, UDART, ya jijini Dar es Salaam. Hakuna anayesema ukweli. Hakuna anayewasemea. Hakuna anayewajali. Wadau wamekaa kimya. Wamewatelekeza na wao wenyewe ni kama wameamua…
Asante Rais Samia, Waziri Nape
Na Deodatus Balile, Zanzibar Wiki iliyopita imekuwa wiki ya furaha kwa tasnia ya habari. Ni wiki ya furaha baada ya Alhamisi iliyopita Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye, kutangaza kuyafungulia na kuyapa leseni magazeti manne; Mwanahalisi,…
Profesa Jay anastahili heshima hii
Dar es Salaam Na Christopher Msekena Wiki chache zilizopita zimekuwa mbaya kwa rapa gwiji nchini, Joseph Haule ‘Profesa Jay’, ambaye amekuwa akipatiwa matibabu ya maradhi yanayomsumbua katika Hospitali ya Taifa Muhimbili. Licha ya kuwapo kwa ufaragha wa familia kuhusu kinachomsumbua…
Kocha ‘rastafari’ aliyeibeba Senegal
*Miaka 20 tangu akose penalti fainali dhidi ya Cameroon Dakar, Senegal Aliou Cissé anasimama na kutazama pande zote za Stade du 26 Mars, moja ya viwanja vya soka vya Bamako nchini Mali, kisha anakimbia na kupiga penalti muhimu ya tano…
Maboresho yatakavyochochea ukuaji sekta ya mawasiliano
• Visimbuzi vyote sasa ruksa kubeba chaneli za bila kulipia • Chaneli za televisheni za kulipia ruksa kubeba matangazo • Punguzo la ada ya leseni kuleta neema kwa watoa huduma, watumiaji Dodoma Na Mwandishi Wetu Katika kuboresha mazingira ya utoaji…