JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

HATUPANGI KUSHINDWA, TUNASHINDWA KUPANGA (16)

Watu wa kusitasita nawachukia ‘Ningejua,’ na ‘kusitasita’ vikipandwa hakuna kinachoota. Kusitasita ni kutamani jana iendelee. Kusitasita ni mazishi ya fursa. Kusitasita ni mauaji ya neema. Kusitasita ni nukta katikati ya sentensi. “Anza kushona na Mungu atakupa uzi.” (Methali ya Ujerumani)….

Kwa nini Ibwera inafaa kuwa halmashauri

Zimejitokeza hoja mbalimbali za kwa nini wananchi wa Bukoba Vijijini wanapendelea makao makuu ya halmashauri yao yawe katika eneo la Ibwera, katika Kata ya Ibwera iliyoko kwenye Tarafa ya Katerero. Kwa vile kuna hoja zinazokinzana, ngoja tukazitazame hoja hizo kusudi…

Ushauri kwanza, uamuzi baadaye

Ushauri na uamuzi ni maneno yanayokwenda sanjari katika matumizi ya mawasiliano na matendo ya mwanadamu. Ushauri unapokuwa mzuri unatengeneza uamuzi mzuri, na unapokuwa mbaya unatengeneza uamuzi mbaya, kwa mtu binafsi au kwa kundi la watu. Kwa vile mwanadamu anaongozwa na…

Yah: Kula kitu roho inapenda

Huu msemo ulianza kama utani kwamba kama una nafasi ya ziada katika kipato, basi unapohitaji kufurahisha moyo wako, kula kitu kizuri ambacho unakipenda na haushurutishwi na mtu na hauna shida ya kukipata. Hii ndiyo maana halisi ya ‘kula kitu roho…

Mafanikio katika akili yangu (19)

Katika toleo lililopita tuliishia katika aya isemayo: Walipokuwa wakiongea Noel akagundua ni Penteratha yule aliyekuwa amekutana naye. “Ina maana Penteratha ni mwandishi maarufu kiasi hiki!’’ alishangaa sana Noel. Sasa endelea … Penteratha akiwa amekaa mezani akijaribu kutengeneza kichwa cha kitabu,…

Banana kama baba yake (2)

Katika kuangalia safari ya kimuziki ya Banana Zorro, wiki iliyopita tuliona jinsi alivyoamua kuachana na bendi ya kwanza na kujiunga na Inafrica Band, na moja kwa moja kujikita katika kufanya kazi kama mwanamuziki anayejitegemea, yaani solo artist. Akiwa mwanamuziki anayejitegemea,…