JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

DC Njombe:Msinywe dawa kwa kificho

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Njombe Mkuu wa Wilaya ya Njombe Kissa Kasongwa ametoa wito kwa watu wanaoishi na maambukizi ya virusi vya ukimwi kuacha kuogopa kutumia dawa za kufubaza maambukizi kwa kuwa Serikali imetatua changamoto ya kukosekana kwa dawa hizo huku akiwataka…

Serikali yatambulisha mradi wa mazingira

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Dodoma Mkurugenzi wa Mazingira Ofisi ya Makamu wa Rais Dkt. Andrew Komba amesema Mamlaka za Serikali za Mitaa zitaongezewa uwezo wa kutambua na kukabiliana na athari za mabadiliko ya tabianchi katika maeneo yao. Amesema hayo wakati wa kikao…

Tanzania kunufaika na dola milioni 100 za mfuko wa uwekezaji Japan

TANZANIA ni miongoni mwa nchi za Afrika zitakazonufaika na fedha za Mfuko wa Kukuza Uwekezaji barani Afrika kutoka Serikali ya Japan zitakazotolewa kuanzia Machi, 2023. Hayo yamesemwa na Mwenyekiti wa timu ya Afrika ya KEIZAI DOYUKAI (Japan Association of Corporate…

Dkt. Kiruswa ataka wachimbaji madini kujifunza Nzega

Na Asteria Muhozya,JamhuriMedia, Nzega Naibu Waziri wa Madini Dkt. Steven Kiruswa amewataka wachimbaji Wadogo wa madini nchini kujifunza kutoka kwa wachimbaji wa Wilaya ya Nzega kutokana na uthubutu walioufanya kuanzisha maabara za kisasa za kupima mchanga wa madini kabla ya…

Ashikiliwa kwa tuhuma za kumbaka mjamzito hadi kufa Iringa

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia, Iringa Jeshi la Polisi mkoani Iringa inamshikilia Mohamed Njali kwa tuhuma za kumbaka mjamzito Atka Kivenule na kumsababishia kifo. Kamanda wa Polisi mkoani humo Allan Bukumbi, amethitisha kutokea kwa tukio hilo lilitokea Jumamosi usiku, mtaa wa Maweni,Kata…

Programu ya SAUTI kuleta mabadiliko sekta ya mifugo nchini

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia Waziri wa Mifugo na Uvuvi,Mashimba Ndaki amesema kuwa Programu ya Samia Ufugaji kwa Tija (SAUTI) inakwenda kuleta mabadiliko makubwa kwenye Sekta ya Mifugo. Waziri Ndaki ameyasema hayo juzi wakati anazungumza na vijana waliochaguliwa kujiunga kwenye vituo atamizi…