Author: Jamhuri
Waziri Mkuu azindua mpango kabambe wa sekta ya uvuvi
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema utekelezaji wa Mpango Kabambe wa Sekta ya Uvuvi utasaidia kukuza sekta hiyo na kuongeza mchango wake katika Pato la Taifa hadi kufikia asilimia 10 kwa mwaka kutoka asilimia 1.8 ya sasa. Majaliwa amesema kuwa mpango…
Makamu wa Rais akihutubia mkutano wa elimu Umoja wa Mataifa
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzaniaย Dkt. Philip Mpango amesema katika kuelekea mwaka 2030, mataifa yanapaswa kujitoa upya na kuazimia kuongeza uwekezajiย zaidi katika sekta ya elimu kwa nia ya kuhakikisha Watoto wanapata elimu iliyo bora na…
CHADEMA yaitaka Serikali kutoa sababu za NHIF ‘kufilisika’
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimeitaka Serikali kutoa sababu zilizosababisha Mfuko wa Taifa wa Bima (NHIF) kuwa na hali mbaya ya kifedha. Hayo yamesemwa leo Septemba 20,2022 na Naibu Katibu Mkuu wa CHADEMA Zanzibar, Salim Mwalimu…
Masauni amteua IGP Mstafu Mwema kuwa mwenyekiti wa bodi ya Magereza
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mheshimiwa Mhandisi Hamad Masauni (Mb), kwa Mamlaka aliyonayo chini ya Kifungu cha 2 cha Amri ya Uanzishwaji wa Bodi ya Shirika la Uzalishaji Mali ya Magereza, iliyofanyiwa Marekebisho Mwaka 2022 (The Prisons Corporation…





