Author: Jamhuri
Rais Samia amwapisha IGP Wambura
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ameunda Kamati na Sekretarieti zitakazoshauri namna ya kuleta mabadiliko ya utendaji kazi wenye matokeo bora katika vyombo vya utendaji haki. Rais Samia amesema hayo katika hafla ya uapisho wa Viongozi…
Burigi Chato yatakiwa kujitangaza kufikia uwezo kujiendesha
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia Kamishna Uhifadhi (TANAPA), William Mwakilema ameagiza Menejimenti ya Hifadhi ya Taifa Burigi -Chato kuboresha huduma za utalii pamoja na kuongeza juhudi za kujitangaza ili kufikia uwezo wa kujiendesha na kuchangia pato la Taifa. Kamishna Mwakilema ameyasema hayo…
UNFPA:Muda wa kuishi kwa Watanzania umeongezeka
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Manyara Mkoa wa Manyara unatajwa kuwa kwa sasa una jumla ya idadi ya watu millioni moja, laki nane na elfu sabini na tano sawa na ongezeko la asilimia 3.2. Ameyaeleza hayo Mkuu wa Mkoa wa Manyara Charles Makongoro…





