JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Barua ya elimu kwa Rais Magufuli – 2

Wiki iliyopita mwandishi wa makala hii ndugu Kalisti Mjuni, alizungumzia umuhimu na mbinu bora za kuandaa walimu. Katika sehemu ya pili, leo Mjuni anazungumzia mahitaji ya msingi kwa utoaji wa elimu bora. Endelea… Mazingira bora. Ili kazi yoyote iweze kufanyika…

EU wasisitiza mgombea binafsi

Jumuiya ya Ulaya (EU) imetoa ripoti ya waangalizi wa Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2015 hapa nchini, na kutoa mapendekezo kadhaa, yakiwamo ya kuishauri Tanzania kuruhusu kuwapo wagombea binafsi. Pia EU wanashauri mabadiliko makubwa kwenye sheria, ili kuwapa fursa wagombea na…

Familia yailalamikia Mahakama Kuu Tanga

Mahakama Kuu kanda ya Tanga, inatuhumiwa na familia ya Ramadhan Athuman Mohamed, aliyehukumiwa kifungo cha miaka 20 jela kwa kosa la kula njama na kusafirisha dawa za kulevya katika Basi la Tawakal, kuwa haikumtendea haki. Familia ya mfungwa huyo ambaye…

Rais Magufuli wekeza upate kodi

Wiki iliyopita niliandika makala juu ya kijana aliyefuga kuku huko Singida. Nimebaini kuwa ufugaji ule umekuwa kivutio kikubwa kwa wengi waliosoma makala yangu. Hata hivyo, ingawa wengi walitaka kuwasiliana naye awafundishe, kijana huyo anasema yeye alifundishwa na mwalimu kutoka Chuo…

Mauaji yanayofanywa si silka ya Watanzania

Watu wachache wasioitakia mema nchi yetu wameanza kuchafua sifa nzuri tuliyojipatia kwa miongo mingi. Mauaji ya albino, vikongwe na ajuza; na sasa haya ya kuchinja watu ndani ya nyumba za ibada na katika makazi, si ya kuvumiliwa hata kidogo. Taarifa…

Hatunacho tena kisiwa cha amani

Sasa kwetu Tanzania ni mauaji tu kila mahali. Na kama hakuna mauaji basi utasikia vurugu bungeni, vyuoni na maeneo mengine. Ile sifa kwamba Tanzania ni kisiwa cha amani haiko tena. Kila mtu anaishi kwa hofu na wasiwasi. Mchungaji wa wanyama…