Author: Jamhuri
Jafo awajia juu wanaotiririsha maji taka
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia WAZIRI wa Nchi ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Dkt.Selemani Jafo amelitaka Jiji la Dar es Salaam kupitia kitengo cha mazingira kubaini waliounganisha mfumo wa maji taka kwenye mfumo wa maji ya mvua ili hatua…
Yanga, Simba, Azam usajili wa bilioni utavuna nini CAF?
DAR ES SALAAM Na Andrew Peter Usajili wa Yanga, Simba na Azam msimu huu hakuna shaka klabu hizo kwa pamoja zimekwisha kutumia zaidi ya Sh bilioni moja katika kuwanasa nyota hao. Ni jambo zuri kuona klabu zetu zimeamua kuvunja benki…
Mambo matano muhimu kwa Rayvanny nje ya WCB
NA CHRISTOPHER MSEKENA Wiki iliyopita Staa wa Bongo Fleva, Rayvanny, ameteka mitandao ya kijamii baada ya kutangaza kuachana na Lebo ya WCB inayomilikiwa na Diamond Platnumz. Hatua hiyo imekuja baada ya Rayvanny kuwa mkubwa kiasi cha kuona sasa anaweza kujisimamia…
Miaka minne ya kishindo shule za serikali
Wakati wa uongozi wa Awamu ya Kwanza chini ya Mwalimu Julius Nyerere, serikali ilijitahidi na kufanikiwa kujenga shule za msingi na sekondari kwa madhumuni ya kutoa elimu kwa vijana. Wakati huo hapakuwa na shule nyingi za binafsi kama ilivyo sasa….
Spika ataka sekta za kilimo, nishati kufungamana
LILONGWE Na Mwandishi Maalumu Spika wa Bunge, Dk. Tulia Ackson, amezitaka nchi wanachama wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) kufungamanisha sekta za kilimo na nishati kupitia mikakati mbalimbali ya kukuza uchumi wanayoitekeleza. Akizungumza katika Mkutano Mkuu wa 51…
Waganga wanaoomba viungo vya albino kusakwa
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia, Tabora Katika kuhakikisha mauaji ya watu wenye ualbino, watoto wachanga na vikongwe yanakomeshwa, Chama cha Waganga wa Tiba Asilia Mkoani hapa kimeazimia kuwasaka wenzao wanaopiga ramli chonganishi na kuomba kupelekewa viungo vya binadamu ili wawatengenezee dawa. Ili…





