JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

WAZIRI JENISTA MHAGAMA AFUNGUA MKUTANO WA WADAU KUJADILI JINSI YA UTEKELEZAJI WA SHERIA YA FIDIA KWA WAFANYAKAZI

SERIKALI ilianzisha Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi kwa lengo la kuhakikisha kuwa wafanyakazi wanapata mafao bora na stahiki ya fidia tofauti na sheria ya zamani iliyotoa viwango vya chini vya fidia, lakini pia kuwawezesha waajiri kupata muda zaidi kushughulikia masuala…

WATAFITI WA KODI AFRIKA WAJENGEWA UWEZO

Mkurugenzi wa Rasilimali Watu na Utawala wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Bw. Michael John akimkabidhi mshiriki kutoka Tunisia Bw. Jabali Belhanssen cheti cha ushiriki wa mafunzo ya utafiti ambayo yafanyika jijini Dar es Salaam kwa ushirikiano wa Taasisi ya…

OKWI AMTIA HOFU AMISI TAMBWE KWA KASI YA UFUNGAJI

Staika mkongwe wa mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Bara, Yanga, Amissi Tambwe ameanza kuingiwa na hofu ya kumuona Emmanuel Okwi wa Simba akivunja rekodi zake katika Ligi Kuu Bara huku akisema jamaa ni balaa. Tambwe, raia wa Burundi, ana rekodi…

Waziri wa Biashara Viwanda na Masoko Zanzibar, Amina Ally Awashauri Wafanyabiashara

Waziri wa Biashara Viwanda na Masoko Zanzibar, Amina Ally amewashauri wafanyabiashara wa Zanzibar kuwa wabunifu katika biashara zao ili kuongeza thamani ya biashara zao jambo litakalosaidia kukuza uchumi wa mtu mmoja mmoja na Zanzibar kwa ujumla. Waziri Amina aliyasema hayo…

Ruvu Shooting ilistahili kushinda Mechi Yao Dhidi ya Azam FC

Kikosi cha Ruvu Shootinga kimeibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Azam FC katika mchezo wa Ligi Kuu Bara uliopigwa Uwanja wa Mabatini, Mlandizi jana. Mchezo umepigwa jana baada ya kuahirishwa juzi Alhamis kufuatia mvua kali kunyesha iliyosababisha maji…

Mzee Jakaya Kikwete Akiwa Mlimani City Pamoja na Wajukuu Zake

Jana Rais Mstaafu, Jakaya Kikwete alitembezwa na wajukuu zake kwenye maduka ya kununulia vifaa vya kuchezea watoto katika madukaa ya Mlimani City lililopo jijini Dar es Salaam “Leo ilikuwa zamu ya wajukuu zangu kunitembeza babu yao na safari yetu iliishia…