Author: Jamhuri
Ahsante TMF, Kazi ipo kwetu
Miongoni mwa habari zilizopamba gazeti hili leo ni taarifa ya Mfuko wa Vyombo vya Habari nchini (TMF), kutoa ruzuku ya Sh. bilioni 1.7 kwa vyombo vya habari 16.Awali ya yote tunaupongeza mfuko huo kwa namna inavyoratibu shughuli zake na…
KWA HILI LA OKWI Yanga inahadaa mashabiki wake
Edgar Aggaba, mwanasheria wa Emmanuel Okwi, nyota wa soka wa kimataifa kutoka Uganda, hakufika Dar es Salaam kusimamia kesi ya mchezaji huyo wakati Kamati ya Sheria na Hadhi za Wachezaji ilipojadili mkataba na usajili wake katika klabu ya Yanga.
Lovy Longomba Gwiji aliyetokea katika familia ya wanamuziki
“Mtoto wa nyoka ni nyoka.” Usemi huu wa wahenga unajionesha wazi kwa baadhi ya familia zilizojaaliwa kuwa na vipaji vikubwa.
Vipaji hivyo vinaweza kuwa vya kucheza mpira, muziki, kucheza sarakasi, riadha, ndondi n.k.
Warioba, Spika Sitta wateketeza Sh 100bil
Kila mtu ni mjasiriamali
Watu wengi huwa wananiuliza swali hili mara kwa mara, “Je, kila mtu ni lazima awe mjasiriamali?”
Nimekuwa nikiwajibu na leo ninataka kulijibu kwa namna nyingine na kwa upana. Ili kulijibu swali hili ninaomba nitumie Biblia kupata baadhi za rejea.
Uchafu waharibu mandhari ya mji wa Songea
Wananchi Manispaa ya Songea wameelezea wasiwasi wao kuhusu kukumbwa na milipuko wa magonjwa mbalimbali, kutokana na kukidhiri kwa uchafu katika maeneo mbalimbali yakiwamo soko kuu la mji buo.
Wakizungumza na JAMHURI kwa nyakati tofauti, wamesema miundombinu ya maji taka Soko Kuu la Songea ni mibovu. Mitaro ya mji huo imefurika na kutiririsha maji hovyo yanayosambaa kwenye maeneo ya wauza nyanya, vitunguu, samaki na dagaa.
Habari mpya
- TPA yanunua boti za kisasa kuimarisha ulinzi bandarini
- Taasisi 300 kufungiwa mifumo ya nishati safi ya kupikia 2026/2027
- Utalii wa Kijiolojia Dodoma; Yoderite na mageuzi ya Kongwa kuwa urithi wa dunia
- Mradi wa njia ya umeme Chalinze – Dodoma wafikia asilimia 89
- Waziri Mkuu: Wakandarasi warejee site
- Serikali yaanza enzi mpya ya usafi wa mazingira kupitia mkakati wa huduma jumuishi
- Watanzania watakiwa kulinda amani
- Makusanyo ya kodi yaendane na kasi ya ukuajia uchumi – Waziri wa Fedha
- Waziri Mkuu akagua daraja la mto Nyathorogo linalounganisha Rorya na Tarime
- Tanzania, Marekani zasaini hati ya makubaliano za dola bilioni 3.14 kuimarisha sekta ya afya
- Mfumo wa uagizaji mafuta wa pamoja waimarisha upatikanaji, udhibiti wa bei na mapato ya taifa
- Serikali yapeleka vicheko barabara ya Makambako- Songea
- Watanzania kunufaika na umeme wa uhakika, TANESCO yavunja rekodi, wateja laki nane waunganishwa
- Bangu awataka waendesha ghala kuimarisha uadilifu na uwajibikaji
- Maonesho Sabasaba yaonesha mafanikio – Kapinga