Author: Jamhuri
Bodi ya Wakurugenzi TPA haina meno mbele ya Kipande
Bodi ya Wakurugenzi ya Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) haina meno mbele ya Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya hiyo, Madeni Kipande, baada ya kubainika kuwa maelekezo mengi anayopewa na Bodi anayapuuza.
Baada ya Waziri wa Uchukuzi, Dk. Harrison Mwakyembe, kuunda Kamati ya Mbakileki kuchunguza kinachoendelea bandarini wakati wa uongozi wa Ephraem Mgawe, Kamati ilitoa mapendekezo ambayo bodi ilimwagiza Kipande kuyatekeleza, lakini zaidi ya asilimia 90 ya mapendekezo hayo ameyapuuza.
Walinzi GGM watuhumiwa kwa ujambazi
Kashfa nzito imeukumba Mgodi wa Dhahabu wa Geita (GGM), baada ya baadhi ya walinzi wake kudaiwa kujihusisha na matukio ya ujambazi wa kutumia silaha.
Imedaiwa kuwa walinzi hao wanapomaliza kufanya matukio hayo yakiwamo ya utekaji na uporaji, fedha zinazopatikana huzitumia kuwaziba midomo baadhi ya viongozi wa vyombo vya dola wasiwafikishe katika mkono wa sheria.
Walinzi GGM watuhumiwa kwa ujambazi
Kashfa nzito imeukumba Mgodi wa Dhahabu wa Geita (GGM), baada ya baadhi ya walinzi wake kudaiwa kujihusisha na matukio ya ujambazi wa kutumia silaha.
Imedaiwa kuwa walinzi hao wanapomaliza kufanya matukio hayo yakiwamo ya utekaji na uporaji, fedha zinazopatikana huzitumia kuwaziba midomo baadhi ya viongozi wa vyombo vya dola wasiwafikishe katika mkono wa sheria.
Nyalandu apangua ‘amri’ ya Nyerere
*Aagiza wataalamu wafungue mpaka wa Bologonja
*Watalii kutoka Kenya wataingia kiulaini Serengeti
*Watafaidi vivutio, kisha fedha zote zitaishia Kenya
Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu, ameshakamilisha mipango ya kufungua mpaka wa Bologonja; jambo linalotajwa kuwa ni pigo kwa uchumi wa Taifa na kwa wadau wa tasnia ya utalii nchini.
Mpaka huo unaotenganisha Tanzania na Kenya, ulifungwa mwaka 1977 kwa amri ya Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere, kwa kuzingatia maslahi mapana ya kiuchumi na kimazingira ya Taifa.
Taarifa zilizopatikana kutoka Wizara ya Maliasili na Utalii zinasema tayari Nyalandu ameshawaagiza viongozi wa Bodi ya Utalii Tanzania (TTB) na wengine katika Wizara yake, kuhakikisha mpaka huo unafunguliwa.
Mkurugenzi Mtendaji wa TTB, Aloyce Nzuki, ambaye Nyalandu amemwondoa kwenye nafasi hiyo, anatajwa kuwa mmoja wa watu waliopinga mpango huo kama ilivyokuwa kwa watangulizi wake. Upinzani huo unatajwa kuwa miongoni mwa sababu alizotumia Nyalandu kushinikiza Nzuki aondolewe.
Siri zavuja Bandari
Real Madrid kuivua ubingwa Bayern leo
Miamba minne ya soka barani Ulaya, wiki hii inajitupa tena katika viwanja viwili tofauti kucheza nusu fainali ya kuwania Kombe la Klabu Bingwa Ulaya (UEFA). Miamba hiyo ni mabingwa watetezi wa kombe hilo, vijana wa Pep Guardiola wa Bayern Munich,…
- Mbaroni kwa tuhuma za kukuta na kililo 166.71 za mirungi Tabora
- Mwenyekiti CCM akiteta jambo na Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu CCM
- Uzalishaji taka za plastiki wapungua kwa asilimia 95
- Mkaguzi Kata Iragua atoa mwongozo kwa watumiaji wa barabara kuepusha madhara
- Ulega apokea taarifa ya washindi shindano la kupunguza foleni mijini
Habari mpya
- Mbaroni kwa tuhuma za kukuta na kililo 166.71 za mirungi Tabora
- Mwenyekiti CCM akiteta jambo na Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu CCM
- Uzalishaji taka za plastiki wapungua kwa asilimia 95
- Mkaguzi Kata Iragua atoa mwongozo kwa watumiaji wa barabara kuepusha madhara
- Ulega apokea taarifa ya washindi shindano la kupunguza foleni mijini
- Salome atembelea ubalozi wa Tanzania nchini Misri
- PPP yaongeza thamani ya miradi hadi trilioni 8.5, wito watolewa kufanyia maboresho sheria ya utumishi
- EACOP yaweka rekodi ya saa milioni 6 bila ajali kazini
- Dkt Muyungi ashiriki Mkutano Agenda ya Maendeleo Endelevu
- Wahitimu Matogoro wahimizwa kuimarisha elimu ya sayansi kwa ajili ya Tanzania ya viwanda
- Upatikanaji mabasi ya watumishi kuwezesha mazingira ya utendajikazi-Prof. Mushi
- TNCC, Belarus wafungua milango ya ushirikiano kukuza mchango wa sekta binafsi
- Dk Kijaji awasili Zimbabwe kushiriki mkutano wa kikanda wa utalii
- Tanzania, Belarus waazimia kupanua wigo wa ushirikiano wa kimaendeleo
- Bodi ya REA yaridhishwa na kasi ya miradi ya umeme mwambao wa ziwa Nyasa