Author: Jamhuri
Bodi ya Wakurugenzi TPA haina meno mbele ya Kipande
Bodi ya Wakurugenzi ya Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) haina meno mbele ya Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya hiyo, Madeni Kipande, baada ya kubainika kuwa maelekezo mengi anayopewa na Bodi anayapuuza.
Baada ya Waziri wa Uchukuzi, Dk. Harrison Mwakyembe, kuunda Kamati ya Mbakileki kuchunguza kinachoendelea bandarini wakati wa uongozi wa Ephraem Mgawe, Kamati ilitoa mapendekezo ambayo bodi ilimwagiza Kipande kuyatekeleza, lakini zaidi ya asilimia 90 ya mapendekezo hayo ameyapuuza.
Walinzi GGM watuhumiwa kwa ujambazi
Kashfa nzito imeukumba Mgodi wa Dhahabu wa Geita (GGM), baada ya baadhi ya walinzi wake kudaiwa kujihusisha na matukio ya ujambazi wa kutumia silaha.
Imedaiwa kuwa walinzi hao wanapomaliza kufanya matukio hayo yakiwamo ya utekaji na uporaji, fedha zinazopatikana huzitumia kuwaziba midomo baadhi ya viongozi wa vyombo vya dola wasiwafikishe katika mkono wa sheria.
Walinzi GGM watuhumiwa kwa ujambazi
Kashfa nzito imeukumba Mgodi wa Dhahabu wa Geita (GGM), baada ya baadhi ya walinzi wake kudaiwa kujihusisha na matukio ya ujambazi wa kutumia silaha.
Imedaiwa kuwa walinzi hao wanapomaliza kufanya matukio hayo yakiwamo ya utekaji na uporaji, fedha zinazopatikana huzitumia kuwaziba midomo baadhi ya viongozi wa vyombo vya dola wasiwafikishe katika mkono wa sheria.
Nyalandu apangua ‘amri’ ya Nyerere
*Aagiza wataalamu wafungue mpaka wa Bologonja
*Watalii kutoka Kenya wataingia kiulaini Serengeti
*Watafaidi vivutio, kisha fedha zote zitaishia Kenya
Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu, ameshakamilisha mipango ya kufungua mpaka wa Bologonja; jambo linalotajwa kuwa ni pigo kwa uchumi wa Taifa na kwa wadau wa tasnia ya utalii nchini.
Mpaka huo unaotenganisha Tanzania na Kenya, ulifungwa mwaka 1977 kwa amri ya Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere, kwa kuzingatia maslahi mapana ya kiuchumi na kimazingira ya Taifa.
Taarifa zilizopatikana kutoka Wizara ya Maliasili na Utalii zinasema tayari Nyalandu ameshawaagiza viongozi wa Bodi ya Utalii Tanzania (TTB) na wengine katika Wizara yake, kuhakikisha mpaka huo unafunguliwa.
Mkurugenzi Mtendaji wa TTB, Aloyce Nzuki, ambaye Nyalandu amemwondoa kwenye nafasi hiyo, anatajwa kuwa mmoja wa watu waliopinga mpango huo kama ilivyokuwa kwa watangulizi wake. Upinzani huo unatajwa kuwa miongoni mwa sababu alizotumia Nyalandu kushinikiza Nzuki aondolewe.
Siri zavuja Bandari
Real Madrid kuivua ubingwa Bayern leo
Miamba minne ya soka barani Ulaya, wiki hii inajitupa tena katika viwanja viwili tofauti kucheza nusu fainali ya kuwania Kombe la Klabu Bingwa Ulaya (UEFA). Miamba hiyo ni mabingwa watetezi wa kombe hilo, vijana wa Pep Guardiola wa Bayern Munich,…
- Waziri Mkuu akagua daraja la mto Nyathorogo linalounganisha Rorya na Tarime
- Tanzania, Marekani zasaini hati ya makubaliano za dola bilioni 3.14 kuimarisha sekta ya afya
- Mfumo wa uagizaji mafuta wa pamoja waimarisha upatikanaji, udhibiti wa bei na mapato ya taifa
- Serikali yapeleka vicheko barabara ya Makambako- Songea
- Watanzania kunufaika na umeme wa uhakika, TANESCO yavunja rekodi, wateja laki nane waunganishwa
Habari mpya
- Waziri Mkuu akagua daraja la mto Nyathorogo linalounganisha Rorya na Tarime
- Tanzania, Marekani zasaini hati ya makubaliano za dola bilioni 3.14 kuimarisha sekta ya afya
- Mfumo wa uagizaji mafuta wa pamoja waimarisha upatikanaji, udhibiti wa bei na mapato ya taifa
- Serikali yapeleka vicheko barabara ya Makambako- Songea
- Watanzania kunufaika na umeme wa uhakika, TANESCO yavunja rekodi, wateja laki nane waunganishwa
- Bangu awataka waendesha ghala kuimarisha uadilifu na uwajibikaji
- Maonesho Sabasaba yaonesha mafanikio – Kapinga
- Prof. Shemdoe awapongeza maafisa afya kupunguza mlipuko wa kipindupindu nchini
- Yawataka maofisa afya mikoa yote kuongeza kasi katika afua za afya na usafi wa mazingira
- Miaka 100 tangu Bunge lianze, Spika asema kuna mengi ya kujivunia
- Naibu Waziri Mahundi : Malezi bora ni uwekezaji wa kizazi na maendeleo ya taifa
- TARURA kuaminiwa kujenga barabara za kuingilia uwanja wa AFCON ni ishara kubwa ya kuaminiwa uwezo wake
- Rais Daniel Chapo wa Msumbiji kuwasili nchini kwa ziara ya kikazi
- Dk Yonazi : Tutumie AFCON kama fursa ya kujitangaza kimataifa
- Makamu wa Rais afanya mazungumzo na Balozi Meja Jenerali Gaguti