Author: Jamhuri
FASIHI FASAHA
Vyama vya upinzani ni vichanga? -3
FIKRA YA HEKIMA
Bunge likipata Lugola 10 litainyoosha Serikali yetu
Ninatamani kuona siku moja Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania linafanikiwa kuwa na angalau wabunge 10 aina ya Alphaxard Kangi Ndege Lugola, ambao watatosha kuinyoosha Serikali yetu.
Mambo muhimu kuanzisha biashara -2
Katika toleo lililopita mwandishi wa makala haya alieleza jinsi mfanyabiashara anayeanza kufanya biashara anavyoweza kulipa kodi yake ya mwaka sasa anatoa mfano jinsi ya utaratibu wa ulipaji wa kodi hiyo endelea
Tanzania kushiriki Reggae Ethiopia
Bendi ya muziki wa Reggae ya mjini Arusha ya ‘The Warriors From the East’ inarajia kushiriki katika tamasha maalum la Muziki wa Reggae, litakalofanyika nchini Ethiopia mwishoni mwa mwezi huu.
Tathmini Ligi Kuu Tanzania Bara
Mzunguko wa kwanza wa Ligi Kuu ya Vodacom soka Tanzania Bara ulifikia tamati Alhamisi ya wiki iliyopita. Hatua hiyo inatoa nafasi kwa wachezaji na makocha wao kupata mapumziko mafupi, kabla ya kuendelea kwa mzunguko wa pili wa Ligi hiyo hapo Januari 25 mwakani.
Magufuli amvimbia Pinda
Kuna kila dalili kuwa Waziri wa Ujenzi, Dk. John Pombe Magufuli, amekataa au kushindwa kutekeleza maagizo ya Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, kutokana na kilichoelezwa kuwa kuyatekeleza ni kuvunja sheria ya usalama barabarani na kanuni zake, hivyo yeye hayuko tayari kufanya hivyo.
- Dk Kijaji awasili Zimbabwe kushiriki mkutano wa kikanda wa utalii
- Tanzania, Belarus waazimia kupanua wigo wa ushirikiano wa kimaendeleo
- Bodi ya REA yaridhishwa na kasi ya miradi ya umeme mwambao wa ziwa Nyasa
- Zao la choroko laleta neema kwa wakulima Tabora
- Mtanzania Lilian Kafiti ang’ara Afrika Mashariki, ateuliwa kuongoza mapambano ya Rushwa Kikanda
Habari mpya
- Dk Kijaji awasili Zimbabwe kushiriki mkutano wa kikanda wa utalii
- Tanzania, Belarus waazimia kupanua wigo wa ushirikiano wa kimaendeleo
- Bodi ya REA yaridhishwa na kasi ya miradi ya umeme mwambao wa ziwa Nyasa
- Zao la choroko laleta neema kwa wakulima Tabora
- Mtanzania Lilian Kafiti ang’ara Afrika Mashariki, ateuliwa kuongoza mapambano ya Rushwa Kikanda
- Nyamka : Viongozi ngazi ya chini watakiwa kuwafikia na kuwahudumia wananchi
- Mwenyekiti CCM Rais Samia aongoza kikao cha Kamati Kuu Dar
- Serikali yamwaga mil.100/- yapunguza msongamano Hospitali ya Jiji Dodoma
- Mei Mosi 2026 kufanyika viwanja vya Dole
- Kagera kunufaika na mpango wa Mkoa wa Afya Moja
- TCDC yashiriki zoezi la upandaji miti Njombe
- Upatikanaji dawa wa uhakika waipaisha MSD, waimwagia sifa Serikali
- Z’bar waliweza, Tanzania hatutashindwa
- Serikali yaendelea kudhibiti kipindupindu, mafunzo yatolewa kwa wataalam
- Waziri wa Mambo ya Nje wa Belarus kutembelea nchini