JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

FASIHI FASAHA

Vyama vya upinzani ni vichanga? -3

Katika sehemu ya pili ya makala haya wiki iliyopita, nilizungumza kuanzishwa vyama vingi vya siasa na malengo yao. Pia niligusia kauli iliyotolewa na Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere, wakati wa Uchaguzi Mkuu 1995 kuhusu uwezo wa vyama vya upinzani kushinda katika chaguzi kuu za mwaka 1995 hadi 2010. Leo tunaendelea…

FIKRA YA HEKIMA

Bunge likipata Lugola 10 litainyoosha Serikali yetu

Ninatamani kuona siku moja Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania linafanikiwa kuwa na angalau wabunge 10 aina ya Alphaxard Kangi Ndege Lugola, ambao watatosha kuinyoosha Serikali yetu.

Mambo muhimu kuanzisha biashara -2

 

Katika toleo lililopita mwandishi wa makala haya alieleza jinsi mfanyabiashara anayeanza kufanya biashara anavyoweza kulipa kodi yake ya mwaka sasa anatoa mfano jinsi ya utaratibu wa ulipaji wa kodi hiyo endelea

Tanzania kushiriki Reggae Ethiopia

Bendi ya muziki wa Reggae ya mjini Arusha ya ‘The Warriors From the East’ inarajia kushiriki katika tamasha maalum la Muziki wa Reggae, litakalofanyika nchini Ethiopia mwishoni mwa mwezi huu.

Tathmini Ligi Kuu Tanzania Bara

Mzunguko wa kwanza wa Ligi Kuu ya Vodacom soka Tanzania Bara ulifikia tamati Alhamisi ya wiki iliyopita. Hatua hiyo inatoa nafasi kwa wachezaji na makocha wao kupata mapumziko mafupi, kabla ya kuendelea kwa mzunguko wa pili wa Ligi hiyo hapo Januari 25 mwakani.

Magufuli amvimbia Pinda

Kuna kila dalili kuwa Waziri wa Ujenzi, Dk. John Pombe Magufuli, amekataa au kushindwa kutekeleza maagizo ya Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, kutokana na kilichoelezwa kuwa kuyatekeleza ni kuvunja sheria ya usalama barabarani na kanuni zake, hivyo yeye hayuko tayari kufanya hivyo.