Author: Jamhuri
FASIHI FASAHA
Vyama vya upinzani ni vichanga? -3
FIKRA YA HEKIMA
Bunge likipata Lugola 10 litainyoosha Serikali yetu
Ninatamani kuona siku moja Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania linafanikiwa kuwa na angalau wabunge 10 aina ya Alphaxard Kangi Ndege Lugola, ambao watatosha kuinyoosha Serikali yetu.
Mambo muhimu kuanzisha biashara -2
Katika toleo lililopita mwandishi wa makala haya alieleza jinsi mfanyabiashara anayeanza kufanya biashara anavyoweza kulipa kodi yake ya mwaka sasa anatoa mfano jinsi ya utaratibu wa ulipaji wa kodi hiyo endelea
Tanzania kushiriki Reggae Ethiopia
Bendi ya muziki wa Reggae ya mjini Arusha ya ‘The Warriors From the East’ inarajia kushiriki katika tamasha maalum la Muziki wa Reggae, litakalofanyika nchini Ethiopia mwishoni mwa mwezi huu.
Tathmini Ligi Kuu Tanzania Bara
Mzunguko wa kwanza wa Ligi Kuu ya Vodacom soka Tanzania Bara ulifikia tamati Alhamisi ya wiki iliyopita. Hatua hiyo inatoa nafasi kwa wachezaji na makocha wao kupata mapumziko mafupi, kabla ya kuendelea kwa mzunguko wa pili wa Ligi hiyo hapo Januari 25 mwakani.
Magufuli amvimbia Pinda
Kuna kila dalili kuwa Waziri wa Ujenzi, Dk. John Pombe Magufuli, amekataa au kushindwa kutekeleza maagizo ya Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, kutokana na kilichoelezwa kuwa kuyatekeleza ni kuvunja sheria ya usalama barabarani na kanuni zake, hivyo yeye hayuko tayari kufanya hivyo.
- Miaka 100 tangu Bunge lianze, Spika asema kuna mengi ya kujivunia
- Naibu Waziri Mahundi : Malezi bora ni uwekezaji wa kizazi na maendeleo ya taifa
- TARURA kuaminiwa kujenga barabara za kuingilia uwanja wa AFCON ni ishara kubwa ya kuaminiwa uwezo wake
- Rais Daniel Chapo wa Msumbiji kuwasili nchini kwa ziara ya kikazi
- Dk Yonazi : Tutumie AFCON kama fursa ya kujitangaza kimataifa
Habari mpya
- Miaka 100 tangu Bunge lianze, Spika asema kuna mengi ya kujivunia
- Naibu Waziri Mahundi : Malezi bora ni uwekezaji wa kizazi na maendeleo ya taifa
- TARURA kuaminiwa kujenga barabara za kuingilia uwanja wa AFCON ni ishara kubwa ya kuaminiwa uwezo wake
- Rais Daniel Chapo wa Msumbiji kuwasili nchini kwa ziara ya kikazi
- Dk Yonazi : Tutumie AFCON kama fursa ya kujitangaza kimataifa
- Makamu wa Rais afanya mazungumzo na Balozi Meja Jenerali Gaguti
- Waziri Mkuu : Serikali kuharakisha utekelezaji wa miradi ya maendeleo nchini
- Rais Dk Samia awaapisha viongozi mbalimbali, Ikulu Dar es Salaam
- Mwenyekiti Kamati ya Kitaifa ataka wadau kuongeza weledi katika kutokomeza ukatili
- Uchumi wa Buluu ni mlango mpya wa itajiri wa taifa
- Serikaki kuanza kutoa vibali vya ujenzi kwa wamiliki walio tayari uendelezaji upya eneo la Sinza
- Kunenge: Nanenane iwe jukwaa la kutatua changamoto za kilimo
- Jaji Mkuu akemea vikali vitendo vya kuingilia amri na maamuzi ya mahakama
- Waziri Mkuu : Kafulila kiongozi kijana mwenye upeo mpana
- Serikali kuendelea kuimarisha mazingira ya biashara na uwekezaji