Author: Jamhuri
Mbatia jasiri wa kuigwa
Wahega walisema kwamba linaweza kutokea usilolitarajia kamwe. Sikutarajia hata siku moja kwamba Mbunge wa kuteuliwa na Rais atajiingiza kwa kishindo katika historia ya Muungano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kwa kutenda kinachofanana na kuuma mkono unaomlisha, nia yake ikiwa kujiepusha na mgongano wa maslahi.
Je, Mkristo akichinja ni haramu?
Chakula cha nyama, ni moja ya hitaji katika mlo. Hutumika kama kitoweo sehemu mbalimbali kuanzia kwenye milo ya nyumbani, sherehe mbalimbali hadi sehemu kunakouzwa vyakula.Hata hivyo,suala linalohusiana na uchinjaji wa wanyama kwa ajili ya chakula, limekuwa likileta matatizo na misuguano isiyo ya lazima katika jamii yetu Watanzania, na hivyo kusababisha kero kwa watu wengine.
Wabunge msiwaangushe wapigakura wenu
Bunge la Bajeti ya Serikali kwa mwaka wa fedha 2013/2014 linaanza leo mjini Dodoma, huku Watanzania wakitarajia kuona na kusikia wabunge wao wakipitisha bajeti inayojibu matatizo yanayowakabili.
Mvutano uchinjaji Mbeya
Hivi karibuni kumezuka vurugu baina ya Wakristo na Waislamu katika mji wa Tunduma mkoani Mbeya, wakigombea uchinjaji mifugo ingawa siku zote Waislamu ndiyo wamekuwa wakitekeleza jukumu hilo.
India yakubaliwa kuchimba dhahabu, almasi Tanzania
Serikali ya Tanzania imekubali ombi la Serikali ya India, la kutaka kuwekeza katika sekta ya nishati na madini nchini.
Udokozi bandarini ukomeshwe
Bandari ya Dar es Salaam ni mashuhuri katika nchi za Afrika Mashariki na Kati. Bandari hii, kwa muda mrefu, imekuwa kitovu cha biashara kati ya Tanzania na nchi za Afrika Mashariki na Kati zisizokuwa na bandari (land locked).
- Rais Dk Samia azindua Meli ya Kwanza ya Uvuvi wa Bahari Kuu Kigamboni Jijini Dar
- Asilimia 10 yaendelea kuzaa matunda, mwenge wazindua basi la vijana Mkuranga
- MSD yajiimarisha mfumo wa ununuzi bidhaa za afya nchini
- Serikali yaimarisha uwazi sekta ya madini, bei elekezi kutolewa kila siku
- Waziri Mkuu awapa tano wajumbe ALAT
Habari mpya
- Rais Dk Samia azindua Meli ya Kwanza ya Uvuvi wa Bahari Kuu Kigamboni Jijini Dar
- Asilimia 10 yaendelea kuzaa matunda, mwenge wazindua basi la vijana Mkuranga
- MSD yajiimarisha mfumo wa ununuzi bidhaa za afya nchini
- Serikali yaimarisha uwazi sekta ya madini, bei elekezi kutolewa kila siku
- Waziri Mkuu awapa tano wajumbe ALAT
- Rais Samia : Kilichotokea Oktoba 29 ni janga na doa kubwa kwa Taifa letu
- Tanzania yatoa wito kwa EAC kuimarisha ushirikiano katika ulinzi na usimamizi wa maliasili
- Silinde azindua Baraza la Sita la wafanyakazi NIRC, ahimiza uwajibikaji
- Serikali yadhamiria kuibadili sura ya Sinza
- Kiwanda cha kuchakata madini chumvi mbioni kukamilika Lindi
- Demokrasia si ya kuiga, ijengwe kwa msingi ya nchi
- Rais Samia : Mimi ni yuleyule wa falsafa ya maridhiano 4R, ninachohitaji ni ushirikiano
- Tume yabaini ugumu wa maisha kilikuwa kichochea cha ghasia
- Jaji Chande : Matukio yaliyotokea Oktoba 29 yalikuwa na uvunjifu wa amani
- MSD yabainisha dhamira ya kuimarisha ushirikiano na sekta binafsi ya afya