Author: Jamhuri
Mbatia jasiri wa kuigwa
Wahega walisema kwamba linaweza kutokea usilolitarajia kamwe. Sikutarajia hata siku moja kwamba Mbunge wa kuteuliwa na Rais atajiingiza kwa kishindo katika historia ya Muungano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kwa kutenda kinachofanana na kuuma mkono unaomlisha, nia yake ikiwa kujiepusha na mgongano wa maslahi.
Je, Mkristo akichinja ni haramu?
Chakula cha nyama, ni moja ya hitaji katika mlo. Hutumika kama kitoweo sehemu mbalimbali kuanzia kwenye milo ya nyumbani, sherehe mbalimbali hadi sehemu kunakouzwa vyakula.Hata hivyo,suala linalohusiana na uchinjaji wa wanyama kwa ajili ya chakula, limekuwa likileta matatizo na misuguano isiyo ya lazima katika jamii yetu Watanzania, na hivyo kusababisha kero kwa watu wengine.
Wabunge msiwaangushe wapigakura wenu
Bunge la Bajeti ya Serikali kwa mwaka wa fedha 2013/2014 linaanza leo mjini Dodoma, huku Watanzania wakitarajia kuona na kusikia wabunge wao wakipitisha bajeti inayojibu matatizo yanayowakabili.
Mvutano uchinjaji Mbeya
Hivi karibuni kumezuka vurugu baina ya Wakristo na Waislamu katika mji wa Tunduma mkoani Mbeya, wakigombea uchinjaji mifugo ingawa siku zote Waislamu ndiyo wamekuwa wakitekeleza jukumu hilo.
India yakubaliwa kuchimba dhahabu, almasi Tanzania
Serikali ya Tanzania imekubali ombi la Serikali ya India, la kutaka kuwekeza katika sekta ya nishati na madini nchini.
Udokozi bandarini ukomeshwe
Bandari ya Dar es Salaam ni mashuhuri katika nchi za Afrika Mashariki na Kati. Bandari hii, kwa muda mrefu, imekuwa kitovu cha biashara kati ya Tanzania na nchi za Afrika Mashariki na Kati zisizokuwa na bandari (land locked).
- Walimu bora wa Dodoma waenda Korea Kusini kusaka maarifa mapya
- Israel yashambulia kusini mwa Lebanon licha ya makubaliano
- Rais Samia kufungua mkutano mkubwa wa madini Novemba 2026
- Tanzania na Japan zasaini hati ya makubaliano ya biashara ya kaboni
- Rais Samia mgeni rasmi tuzo za Vijana Uchumi Challenge 2026
Habari mpya
- Walimu bora wa Dodoma waenda Korea Kusini kusaka maarifa mapya
- Israel yashambulia kusini mwa Lebanon licha ya makubaliano
- Rais Samia kufungua mkutano mkubwa wa madini Novemba 2026
- Tanzania na Japan zasaini hati ya makubaliano ya biashara ya kaboni
- Rais Samia mgeni rasmi tuzo za Vijana Uchumi Challenge 2026
- Mbio za miaka 30 ya TRA , Eliona asisitiza ulipaji kodi kwa hiari
- Katibu Mkuu Zambia aipongeza Tanzania kwa mafanikio makubwa katika sekta ya umeme
- MSD Kagera yapewa tano kwa usambazaji bidhaa za afya za bil.29/- RC ahimiza madeni kulipwa
- Vijana 400 waagwa kwenda kufanya kazi nje ya nchi
- WRRB yapanua mfumo wa stakabadhi za ghala kwa bidhaa tano mpya
- Serikali yataka wadau kushirikiana na FCC kudhibiti bidhaa bandia
- Hospitali ya Shifaa yaja na tumaini jipya wanaosumbuliwa na kisukari
- Prof. Mwegoha: Sekta binafsi nguzo muhimu katika kukabiliana na changamoto ya ajira
- Madiwani Katavi wahidi kulinda miundombini ya umeme
- Ndejembi: Bei ya mafuta kuanza kushuka Julai