Author: Jamhuri
Samaki Ziwa Victoria bye bye
*CAG asema uvuvi huu ukiendelea miaka 15 ijayo litakuwa tupu
Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Ludovick Utouh, ametoa ripoti ya ukaguzi ya mwaka 2011/2012 na kutoa tahadhari kwamba endapo uvuvi haramu hautadhibitiwa katika Ziwa Victoria, miaka 15 hadi 20 ijayo samaki watakuwa wametoweka katika ziwa hilo kubwa katika Afrika.
Bagamoyo wamegewa neema nyingine
*Vijiji 20 kugawiwa fedha, chakula, elimu
Wakati bado mjadala wa upendeleo wa wilaya yake ukiendelea kumwandamana Rais Jakaya Kikwete, mradi mwingine wa mabilioni ya shilingi umepelekwa katika vijiji 20 vya Halmashauri ya Wilaya ya Bagamoyo mkoani Pwani.
Bila kudhibiti NGOs Loliondo haitatulia
Kwa mara nyingine, Loliondo imetawala kwenye vyombo vya habari vya ndani na nje ya nchi. Sina desturi ya kuitetea Serikali, lakini hiyo haina maana kwamba inapoamua kufanya jambo la manufaa kwa vizazi vya sasa na vijavyo, nishindwe kuitetea.
BAADA YA KUANIKA MADUDU…
Ofisi ya CAG sasa yasambaratishwa
*Naibu CAG aondolewa, Utouh atakiwa ajiandae kung’atuka
Hasira za watendaji kadhaa wa Serikali Kuu, Serikali za Mitaa, Mashirika ya Umma na taasisi mbalimbali dhidi ya Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali, zimeanza kuzaa matunda baada ya kuwapo mpango wa kuwang’oa viongozi wake wakuu.
NuKUU ZA WIKI
Nyerere: Miiko ya uongozi
“Siku hizi fedha ndio sifa kubwa ya mtu kuchaguliwa kuwa kiongozi. Miiko ya uongozi ambayo ni jambo la lazima katika kila nchi duniani, haipo tena hapa nchini.”
Maneno haya ni ya Baba wa Taifa letu, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.
Dk. Wande alilia mshikamano Simba
*Ahofu mgogoro wa Simba utaathiri soka nchini
Mwanachama wa siku nyingi wa Wekundu wa Msimbazi, Simba Sports Club ya Dar es Salaam, Dk. Mohamed Wande, ametaja mbinu pekee ya kuinusuru klabu hiyo isididimie kisoka kuwa ni mshikamano wa wanachama na wachezaji.
- Msajili wa Hazina ateta na uongozi wa kampuni ya Barrick
- Mhe. Salome: Wizara ya Nishati ina wajibu wa kuhakikisha wananchi wanapata umeme wa uhakika
- Serikali, KPMG kuimarisha ushirikiano katika maboresho ya mfumo wa kodi
- ADEM yasisisitiza matumizi sahihi ya AI kuboresha ubora wa elimu nchini
- Makamu wa Rais awasalimu wananchi wa Mbuyuni wilayani Moshi
Habari mpya
- Msajili wa Hazina ateta na uongozi wa kampuni ya Barrick
- Mhe. Salome: Wizara ya Nishati ina wajibu wa kuhakikisha wananchi wanapata umeme wa uhakika
- Serikali, KPMG kuimarisha ushirikiano katika maboresho ya mfumo wa kodi
- ADEM yasisisitiza matumizi sahihi ya AI kuboresha ubora wa elimu nchini
- Makamu wa Rais awasalimu wananchi wa Mbuyuni wilayani Moshi
- Rais Mwinyi azitaka nchi za NAM kuunganisha sauti katika maamuzi ya kimataifa
- Prof. Shemdoe aelekeza wafanyabiashara 30 soko la ndizi Mabibo kurejeshwa sokoni
- Mavunde aitaka Mantra kuharakisha mradi wa Urani Mkuju
- JKCI yafanya upasuaji wa mtoto aliyezaliwa na mishipa miwili ya damu kwenye moyo
- Rais Samia aenda kuhudhuria uapisho wa rais mteule wa Zambia
- Rais Samia, Nchimbi, Ndejembi na siasa za CCM
- Soma Gazeti la Jamhuri Septemba 1-7, 2026
- Prof. Shemdoe apongeza mpango wa Mufti Bima Foundation kuwasaidia wananchi wasio na uwezo
- TASAC yasitisha leseni za ICD na kufungia sita
- BoT yawataka wasanii kuwa mabalozi wa elimu ya fedha