Author: Jamhuri
Samaki Ziwa Victoria bye bye
*CAG asema uvuvi huu ukiendelea miaka 15 ijayo litakuwa tupu
Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Ludovick Utouh, ametoa ripoti ya ukaguzi ya mwaka 2011/2012 na kutoa tahadhari kwamba endapo uvuvi haramu hautadhibitiwa katika Ziwa Victoria, miaka 15 hadi 20 ijayo samaki watakuwa wametoweka katika ziwa hilo kubwa katika Afrika.
Bagamoyo wamegewa neema nyingine
*Vijiji 20 kugawiwa fedha, chakula, elimu
Wakati bado mjadala wa upendeleo wa wilaya yake ukiendelea kumwandamana Rais Jakaya Kikwete, mradi mwingine wa mabilioni ya shilingi umepelekwa katika vijiji 20 vya Halmashauri ya Wilaya ya Bagamoyo mkoani Pwani.
Bila kudhibiti NGOs Loliondo haitatulia
Kwa mara nyingine, Loliondo imetawala kwenye vyombo vya habari vya ndani na nje ya nchi. Sina desturi ya kuitetea Serikali, lakini hiyo haina maana kwamba inapoamua kufanya jambo la manufaa kwa vizazi vya sasa na vijavyo, nishindwe kuitetea.
BAADA YA KUANIKA MADUDU…
Ofisi ya CAG sasa yasambaratishwa
*Naibu CAG aondolewa, Utouh atakiwa ajiandae kung’atuka
Hasira za watendaji kadhaa wa Serikali Kuu, Serikali za Mitaa, Mashirika ya Umma na taasisi mbalimbali dhidi ya Ofisi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali, zimeanza kuzaa matunda baada ya kuwapo mpango wa kuwang’oa viongozi wake wakuu.
NuKUU ZA WIKI
Nyerere: Miiko ya uongozi
“Siku hizi fedha ndio sifa kubwa ya mtu kuchaguliwa kuwa kiongozi. Miiko ya uongozi ambayo ni jambo la lazima katika kila nchi duniani, haipo tena hapa nchini.”
Maneno haya ni ya Baba wa Taifa letu, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.
Dk. Wande alilia mshikamano Simba
*Ahofu mgogoro wa Simba utaathiri soka nchini
Mwanachama wa siku nyingi wa Wekundu wa Msimbazi, Simba Sports Club ya Dar es Salaam, Dk. Mohamed Wande, ametaja mbinu pekee ya kuinusuru klabu hiyo isididimie kisoka kuwa ni mshikamano wa wanachama na wachezaji.
- Walimu bora wa Dodoma waenda Korea Kusini kusaka maarifa mapya
- Israel yashambulia kusini mwa Lebanon licha ya makubaliano
- Rais Samia kufungua mkutano mkubwa wa madini Novemba 2026
- Tanzania na Japan zasaini hati ya makubaliano ya biashara ya kaboni
- Rais Samia mgeni rasmi tuzo za Vijana Uchumi Challenge 2026
Habari mpya
- Walimu bora wa Dodoma waenda Korea Kusini kusaka maarifa mapya
- Israel yashambulia kusini mwa Lebanon licha ya makubaliano
- Rais Samia kufungua mkutano mkubwa wa madini Novemba 2026
- Tanzania na Japan zasaini hati ya makubaliano ya biashara ya kaboni
- Rais Samia mgeni rasmi tuzo za Vijana Uchumi Challenge 2026
- Mbio za miaka 30 ya TRA , Eliona asisitiza ulipaji kodi kwa hiari
- Katibu Mkuu Zambia aipongeza Tanzania kwa mafanikio makubwa katika sekta ya umeme
- MSD Kagera yapewa tano kwa usambazaji bidhaa za afya za bil.29/- RC ahimiza madeni kulipwa
- Vijana 400 waagwa kwenda kufanya kazi nje ya nchi
- WRRB yapanua mfumo wa stakabadhi za ghala kwa bidhaa tano mpya
- Serikali yataka wadau kushirikiana na FCC kudhibiti bidhaa bandia
- Hospitali ya Shifaa yaja na tumaini jipya wanaosumbuliwa na kisukari
- Prof. Mwegoha: Sekta binafsi nguzo muhimu katika kukabiliana na changamoto ya ajira
- Madiwani Katavi wahidi kulinda miundombini ya umeme
- Ndejembi: Bei ya mafuta kuanza kushuka Julai