Author: Jamhuri
EfG inavyopinga ukatili kwa wanawake
Shirika lisilo la Serikali la Kuwezesha Wanawake Kibiashara (EfG) Tanzania, limekuwa mstari wa mbele kusaidia wafanyabiashara wasio katika sekta rasmi, ikiwa ni juhudi za kuinua nafasi zao katika nyanja mbalimbali ikiwemo ya kiuchumi.
Je, ushirikina unafanikisha biashara?
Mapema mwaka huu nilikuwa miongoni mwa maelfu ya wakazi wa mji wa Iringa, waliokwenda kushuhudia sakata la misukule katika Frelimo, iliyodaiwa kuwa kwenye nyumba ya mama mmoja mfanyabiashara maarufu mjini hapa. Licha ya kufika mapema sana eneo hilo lakini sikubahatika kuona misukule!
NHC yazidi kujiimarisha
*Kasi ujenzi nyumba za makazi, vitegauchumi yaongezeka
*Nyumba 1,000 kwa wenye kipato kidogo kujengwa mikoa 14
Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) linaendelea kutimiza dhima ya kuanzishwa kwake kwa kuhakikisha linatekeleza miradi mbalimbali ya ujenzi wa nyumba za makazi na vitega uchumi.
Kwa sasa NHC imekamilisha baadhi ya miradi, mingine inaendelea na pia imejiwekea mpango mkakati wa kuendelea na ujenzi wa nyumba kwa mahitaji mbalimbali nchini.
JKT ni mtima wa Taifa (5)
JKT ni mtima wa Taifa (5)Napenda kukumbusha wahusika kuwa wakati utaratibu wa kuwaita vijana kwa mujibu wa sheria ukiandaliwa katika ile (White Paper No. 2 ya mwaka 1966), katika ibara ya 9, kulianishwa masomo ya kuwafundisha vijana wote katika JKT.
Tamaa ya utajiri yachochea ushirikina migodini Geita
“Ushirikina huku Geita ni mkubwa, wachimba madini wengi wanaamini hawawezi kufanikiwa bila kufanya ushirikina, ndio maana kuna vitendo vya mauaji ya alibino na kukata viungo vyao.”
Hiyo ni kauli ya mchimbaji mdogo wa dhahabu katika mgodi wa Nyarugusu alipozungumza na JAMHURI hivi karibuni, kuhusu ukubwa wa imani za ushirikina kwa wachimbaji wadogo wa madini mkoani Geita.
Chadema jiepusheni na migogoro
Katika toleo la leo tumechapisha habari zinazoonyesha kuwa kuna mgogoro mkubwa unaofukuta ndani ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA). Mgogoro huu unatajwa kutokana na makundi makubwa matatu yenye kutaka ukuu ndani ya chama hicho. Kundi la kwanza ni la Mwenyekiti Freeman Mbowe. Kundi hili linadaiwa kuukodolea macho urais baada ya kuona kuwa Chadema sasa inakubalika.
Habari mpya
- CCM yafanya uteuzi wa wagombea nafasi za Spika na Naibu Spika
- Ajali ya ndege ya UPS, saba wafariki, 11 wajeruhiwa
- Rais Dk Samia amuapisha mwanasheria mkuu Hamza Johari
- Hali ya amani na utulivu yarejea , Serikali yawakaribisha wageni
- Wabunge wateule waitwa bungeni Dodoma
- Nchimbi aombewa na Dkt Mpango, aahidi kuendeleza mchango wake
- Rais Dk Samia akabidhiwa nyaraka
- Khamis Mgeja ameacha historia ya ujasiri, uzalendo
- Wananchi Stand ya zamani Kondoa mjini wakishiriki upigaji kura
- RC Kagera apiga kura, awahakikishia usalama wananchi
- Balozi Dkt. Nchimbi ashiriki zoezi la kupiga kura ya kumchagua Rais, mbunge na diwani
- Waziri Ndumbaro apiga kura, apongeza utulivu na amani
- Hali ni shwari Pwani, wananchi waendelea kupigama kura kwa amani
- Dkt. Mpango ashiriki zoezi la kupiga kura
- TMA yatoa tahadhari ya mvua kubwa kwa baadhi ya mikoa