Author: Jamhuri
ADC: Tutajipima Uchaguzi Mkuu 2015
*Limbu atamba kudhibiti makundi
Wakati Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) vikitamba kung’ara katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika mwaka 2015, Chama cha Alliance for Democratic Change (ADC) kimesema muda wa miaka mitatu uliobaki unatosha kujipanga kutwaa uongozi wa nchi.
Tanesco inawakera wateja Dar es Salaam
Shirika la Ugavi wa Umeme Tanzania (Tanesco), limeanza kuwakera wateja wake jijini Dar es Salaama, hata baada ya uongozi wa wizara husika kutangaza kikomo cha tatizo la mgawo wa nishati hiyo.
Mihadarati sasa yapigiwa upatu
Nilipokuwa nchini Ghana kwa mafunzo ya vitendo mwishoni mwa miaka ya ’80, nilishangazwa na daktari mmoja. Nakumbuka ilikuwa katika Korle-Bu Teaching Hospital ya Chuo Kikuu cha Accra, na bado sijausahau mtaa wake – Guggisberg Avenue katika mji mkuu, Accra.
JK asifu utendaji wa Mchechu NHC
Rais Jakaya Kikwete ameusifu utendaji wa Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba (NHC), Nehemia Mchechu, kwamba umerudisha heshima ya shirika hilo.
Ameisifu pia Bodi ya NHC, wafanyakazi wa shirika hilo kwa kutoa ushirikiano mzuri kwa mkurugenzi huyo.
Yah: Kama ningekuwa Waziri wa Usalama Barabarani
Wanangu, nawapa kongole ya kutimiza miaka 51 ya Uhuru mlionao hivi leo, nawapongeza kwa kuwa sisi wana-TANU ni kama ndoto ya kuamini kuwa tumeweza kuhimili vishindo vya wakoloni kwa kipindi chote hiki.
Sarafu moja Afrika Mashariki ni mtego
Wiki iliyopita hapa nchini umekuwapo mjadala wa kiuchumi, unaohoji mpango wa kuharakisha matumizi ya sarafu moja katika Jumuiya ya Afrika Mashariki. Mjadala huu umehusisha wadau mbalimbali, akiwamo Balozi wa Tanzania nchini Ubeligji, Dk. Diodorus Kamala.
- Wabunge waipongeza EWURA kwa uwajibikaji na uwazi
- Rais Samia aweka mwelekeo mpya urasimishaji sekta ya baba na mama lishe nchini
- Ulega aibana TANROADS, atoa siku 14 mkandarasi barabara ya Kisarawe – Maneromango apatikane
- Tuzo za BMT wanamichezo bora 2025 kutolewa Mei 9, tuzo ya mwanahabari nguli ipo
- Rais Samia akagua mapishi ya baba na mama lishe
Habari mpya
- Wabunge waipongeza EWURA kwa uwajibikaji na uwazi
- Rais Samia aweka mwelekeo mpya urasimishaji sekta ya baba na mama lishe nchini
- Ulega aibana TANROADS, atoa siku 14 mkandarasi barabara ya Kisarawe – Maneromango apatikane
- Tuzo za BMT wanamichezo bora 2025 kutolewa Mei 9, tuzo ya mwanahabari nguli ipo
- Rais Samia akagua mapishi ya baba na mama lishe
- Mwang’onda afurahishwa na mazingira rafiki ya uwekezaji Kibaha, azindua kiwanda Doweicare
- Makonda : Ujio Miss World, AFCON waonyesha imani kubwa ya dunia kwa Tanzania
- Dk Abbasi : Uhifadhi umeifanya Tanzania kuongoza kwa Simba wengi Duniani
- Bila EWURA mafuta yangekuwa bei gani?
- Serikali yasisitiza michezo ni nguzo ya afya na ufanisi kazini
- Bonde la Msimbazi jijini Dar kuwa sehemu muhimu kwa uchumi na mazingira – Prof. Shemdoe
- Soma Gazeti la Jamhuri Aprili 21- 27, 2026
- Ndejembi aipongeza REA
- Mwenge waridhishwa na mradi wa maji Kigoda–Ngwale unaotekelezwa na RUWASA
- Waziri Mkuu: Fedha za muungano zitumike kukarabati miundombin ya barabara