Author: Jamhuri
EfG inavyopinga ukatili kwa wanawake
Shirika lisilo la Serikali la Kuwezesha Wanawake Kibiashara (EfG) Tanzania, limekuwa mstari wa mbele kusaidia wafanyabiashara wasio katika sekta rasmi, ikiwa ni juhudi za kuinua nafasi zao katika nyanja mbalimbali ikiwemo ya kiuchumi.
Je, ushirikina unafanikisha biashara?
Mapema mwaka huu nilikuwa miongoni mwa maelfu ya wakazi wa mji wa Iringa, waliokwenda kushuhudia sakata la misukule katika Frelimo, iliyodaiwa kuwa kwenye nyumba ya mama mmoja mfanyabiashara maarufu mjini hapa. Licha ya kufika mapema sana eneo hilo lakini sikubahatika kuona misukule!
NHC yazidi kujiimarisha
*Kasi ujenzi nyumba za makazi, vitegauchumi yaongezeka
*Nyumba 1,000 kwa wenye kipato kidogo kujengwa mikoa 14
Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) linaendelea kutimiza dhima ya kuanzishwa kwake kwa kuhakikisha linatekeleza miradi mbalimbali ya ujenzi wa nyumba za makazi na vitega uchumi.
Kwa sasa NHC imekamilisha baadhi ya miradi, mingine inaendelea na pia imejiwekea mpango mkakati wa kuendelea na ujenzi wa nyumba kwa mahitaji mbalimbali nchini.
JKT ni mtima wa Taifa (5)
JKT ni mtima wa Taifa (5)Napenda kukumbusha wahusika kuwa wakati utaratibu wa kuwaita vijana kwa mujibu wa sheria ukiandaliwa katika ile (White Paper No. 2 ya mwaka 1966), katika ibara ya 9, kulianishwa masomo ya kuwafundisha vijana wote katika JKT.
Tamaa ya utajiri yachochea ushirikina migodini Geita
“Ushirikina huku Geita ni mkubwa, wachimba madini wengi wanaamini hawawezi kufanikiwa bila kufanya ushirikina, ndio maana kuna vitendo vya mauaji ya alibino na kukata viungo vyao.”
Hiyo ni kauli ya mchimbaji mdogo wa dhahabu katika mgodi wa Nyarugusu alipozungumza na JAMHURI hivi karibuni, kuhusu ukubwa wa imani za ushirikina kwa wachimbaji wadogo wa madini mkoani Geita.
Chadema jiepusheni na migogoro
Katika toleo la leo tumechapisha habari zinazoonyesha kuwa kuna mgogoro mkubwa unaofukuta ndani ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA). Mgogoro huu unatajwa kutokana na makundi makubwa matatu yenye kutaka ukuu ndani ya chama hicho. Kundi la kwanza ni la Mwenyekiti Freeman Mbowe. Kundi hili linadaiwa kuukodolea macho urais baada ya kuona kuwa Chadema sasa inakubalika.
- Wabunge waipongeza EWURA kwa uwajibikaji na uwazi
- Rais Samia aweka mwelekeo mpya urasimishaji sekta ya baba na mama lishe nchini
- Ulega aibana TANROADS, atoa siku 14 mkandarasi barabara ya Kisarawe – Maneromango apatikane
- Tuzo za BMT wanamichezo bora 2025 kutolewa Mei 9, tuzo ya mwanahabari nguli ipo
- Rais Samia akagua mapishi ya baba na mama lishe
Habari mpya
- Wabunge waipongeza EWURA kwa uwajibikaji na uwazi
- Rais Samia aweka mwelekeo mpya urasimishaji sekta ya baba na mama lishe nchini
- Ulega aibana TANROADS, atoa siku 14 mkandarasi barabara ya Kisarawe – Maneromango apatikane
- Tuzo za BMT wanamichezo bora 2025 kutolewa Mei 9, tuzo ya mwanahabari nguli ipo
- Rais Samia akagua mapishi ya baba na mama lishe
- Mwang’onda afurahishwa na mazingira rafiki ya uwekezaji Kibaha, azindua kiwanda Doweicare
- Makonda : Ujio Miss World, AFCON waonyesha imani kubwa ya dunia kwa Tanzania
- Dk Abbasi : Uhifadhi umeifanya Tanzania kuongoza kwa Simba wengi Duniani
- Bila EWURA mafuta yangekuwa bei gani?
- Serikali yasisitiza michezo ni nguzo ya afya na ufanisi kazini
- Bonde la Msimbazi jijini Dar kuwa sehemu muhimu kwa uchumi na mazingira – Prof. Shemdoe
- Soma Gazeti la Jamhuri Aprili 21- 27, 2026
- Ndejembi aipongeza REA
- Mwenge waridhishwa na mradi wa maji Kigoda–Ngwale unaotekelezwa na RUWASA
- Waziri Mkuu: Fedha za muungano zitumike kukarabati miundombin ya barabara