Author: Jamhuri
EfG inavyopinga ukatili kwa wanawake
Shirika lisilo la Serikali la Kuwezesha Wanawake Kibiashara (EfG) Tanzania, limekuwa mstari wa mbele kusaidia wafanyabiashara wasio katika sekta rasmi, ikiwa ni juhudi za kuinua nafasi zao katika nyanja mbalimbali ikiwemo ya kiuchumi.
Je, ushirikina unafanikisha biashara?
Mapema mwaka huu nilikuwa miongoni mwa maelfu ya wakazi wa mji wa Iringa, waliokwenda kushuhudia sakata la misukule katika Frelimo, iliyodaiwa kuwa kwenye nyumba ya mama mmoja mfanyabiashara maarufu mjini hapa. Licha ya kufika mapema sana eneo hilo lakini sikubahatika kuona misukule!
NHC yazidi kujiimarisha
*Kasi ujenzi nyumba za makazi, vitegauchumi yaongezeka
*Nyumba 1,000 kwa wenye kipato kidogo kujengwa mikoa 14
Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) linaendelea kutimiza dhima ya kuanzishwa kwake kwa kuhakikisha linatekeleza miradi mbalimbali ya ujenzi wa nyumba za makazi na vitega uchumi.
Kwa sasa NHC imekamilisha baadhi ya miradi, mingine inaendelea na pia imejiwekea mpango mkakati wa kuendelea na ujenzi wa nyumba kwa mahitaji mbalimbali nchini.
JKT ni mtima wa Taifa (5)
JKT ni mtima wa Taifa (5)Napenda kukumbusha wahusika kuwa wakati utaratibu wa kuwaita vijana kwa mujibu wa sheria ukiandaliwa katika ile (White Paper No. 2 ya mwaka 1966), katika ibara ya 9, kulianishwa masomo ya kuwafundisha vijana wote katika JKT.
Tamaa ya utajiri yachochea ushirikina migodini Geita
“Ushirikina huku Geita ni mkubwa, wachimba madini wengi wanaamini hawawezi kufanikiwa bila kufanya ushirikina, ndio maana kuna vitendo vya mauaji ya alibino na kukata viungo vyao.”
Hiyo ni kauli ya mchimbaji mdogo wa dhahabu katika mgodi wa Nyarugusu alipozungumza na JAMHURI hivi karibuni, kuhusu ukubwa wa imani za ushirikina kwa wachimbaji wadogo wa madini mkoani Geita.
Chadema jiepusheni na migogoro
Katika toleo la leo tumechapisha habari zinazoonyesha kuwa kuna mgogoro mkubwa unaofukuta ndani ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA). Mgogoro huu unatajwa kutokana na makundi makubwa matatu yenye kutaka ukuu ndani ya chama hicho. Kundi la kwanza ni la Mwenyekiti Freeman Mbowe. Kundi hili linadaiwa kuukodolea macho urais baada ya kuona kuwa Chadema sasa inakubalika.
Habari mpya
- Tanzania, AngloGold Ashanti kuimarisha ushirikiano
- JWTZ laadhimisha miaka 62 tangu kuanzishwa kwake
- NIDA yazindua Kampeni ya Kipo Chukua, Kamilisha Safari Yako
- TANESCO yabaini matukio ya wizi wa umeme Kinondoni Kaskazini
- Madereva 56 wafikishwa mahakamani, 12 wafungiwa leseni Pwani
- Nombo : Weledi na uadilifu ni msingi wa utendaji
- Bei za mafuta Septemba zashuka nchini
- Msajili wa Hazina ateta na uongozi wa kampuni ya Barrick
- Mhe. Salome: Wizara ya Nishati ina wajibu wa kuhakikisha wananchi wanapata umeme wa uhakika
- Serikali, KPMG kuimarisha ushirikiano katika maboresho ya mfumo wa kodi
- ADEM yasisisitiza matumizi sahihi ya AI kuboresha ubora wa elimu nchini
- Makamu wa Rais awasalimu wananchi wa Mbuyuni wilayani Moshi
- Rais Mwinyi azitaka nchi za NAM kuunganisha sauti katika maamuzi ya kimataifa
- Prof. Shemdoe aelekeza wafanyabiashara 30 soko la ndizi Mabibo kurejeshwa sokoni
- Mavunde aitaka Mantra kuharakisha mradi wa Urani Mkuju