Author: Jamhuri
Nguvu ya rangi katika biashara zetu
Leo nitawapitisha wajasiriamali katika somo muhimu kuhusu rangi. Je, unafahamu chimbuko la neno yeboyebo hapa nchini? Twende pamoja. Miaka michache iliyopita, kampuni moja ya hapa Tanzania ilitambulisha bidhaa zake za juisi zilizokuwa zikifahamika kama “Yebo”. Juhudi kubwa ilielekezwa katika kuitangaza…
Nashukuru, utabiri kwa Nyalandu unatimia
Tangu mapema kabisa nilishasema kwamba Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu ni tatizo. Niliyasema haya wiki kadhaa baada ya kuteuliwa kwake kushika wadhifa huo.Nyalandu alianza matatizo tangu akiwa Wizara ya Viwanda na Biashara. Nadhani Dk. Cyril Chami, anaweza kuwa msaada mzuri katika hili ninalolisema.
Serikali isipuuze, udini upo, iuthibiti (4)
Wiki iliyopita nilieleza chanzo na sababu za kuwapo kwa udini nchini, jinsi ulivyopandwa na kupaliliwa hadi kumea na kuwa mgumu kama kisiki cha mti aina ya mpingo.
Uhuru umeyeyusha matarajio yetu
Desemba 9, mwaka huu, Watanzania tumeadhimisha miaka 51 ya Uhuru wa nchi yetu, huku wengi wetu wakikabiliwa na maisha magumu kupindukia. Binafsi ninaamini kuwa ni unafiki kusema Tanzania haina cha kujivunia, lakini pia ni unafiki kusema Serikali kupitia Uhuru huu, imeboresha maisha ya wananchi.
Muungano ndiyo mboni ya Tanzania (1)
Ipo methali moja ya Kiswahili isemayo, “Usipoziba ufa utajenga ukuta”. Methali hii ina fundisho kubwa sana katika maisha yetu ya kila siku.
Nyangwine amkosoa January Makamba
*Asema kauli yake inabagua wazee CCM
*Aahidi kumuunga mkono mzee Wasira
Kauli iliyotolewa na Mbunge wa Bumbuli, January Makamba, kwamba mtu yeyote aliyezaliwa mwaka 1961 hapaswi kuwa Rais wa Tanzania, imemkera Mbunge wa Tarime, Nyambari Nyangwine.
- MSD Kagera yapewa tano kwa usambazaji bidhaa za afya za bil.29/- RC ahimiza madeni kulipwa
- Vijana 400 waagwa kwenda kufanya kazi nje ya nchi
- WRRB yapanua mfumo wa stakabadhi za ghala kwa bidhaa tano mpya
- Serikali yataka wadau kushirikiana na FCC kudhibiti bidhaa bandia
- Hospitali ya Shifaa yaja na tumaini jipya wanaosumbuliwa na kisukari
Habari mpya
- MSD Kagera yapewa tano kwa usambazaji bidhaa za afya za bil.29/- RC ahimiza madeni kulipwa
- Vijana 400 waagwa kwenda kufanya kazi nje ya nchi
- WRRB yapanua mfumo wa stakabadhi za ghala kwa bidhaa tano mpya
- Serikali yataka wadau kushirikiana na FCC kudhibiti bidhaa bandia
- Hospitali ya Shifaa yaja na tumaini jipya wanaosumbuliwa na kisukari
- Prof. Mwegoha: Sekta binafsi nguzo muhimu katika kukabiliana na changamoto ya ajira
- Madiwani Katavi wahidi kulinda miundombini ya umeme
- Ndejembi: Bei ya mafuta kuanza kushuka Julai
- Kafulila: Elimu ijikite katika umahiri na uzalishaji
- Baja : Hospitali Benjamin Mkapa yashika nafasi ya kwanza kwa ubora wa utoaji huduma
- DC Temeke awataka wadau kushirikiana na FCC mapambano bidhaa bandia
- Waziri Sangu awataka waajiri Kutumia fursa ya msamaha wa tozo wa NSSF
- Kapinga atembelea kiwanda cha Mainland Group, apongeza juhudi za uongezaji thamani
- Salome Makamba afunga maonyesho ya Nishati Expo 2026
- Wawili wakamatwa wakitorosha mifugo 254 kwenda nje ya nchi kwa njia ya magendo