Author: Jamhuri
Nguvu ya rangi katika biashara zetu
Leo nitawapitisha wajasiriamali katika somo muhimu kuhusu rangi. Je, unafahamu chimbuko la neno yeboyebo hapa nchini? Twende pamoja. Miaka michache iliyopita, kampuni moja ya hapa Tanzania ilitambulisha bidhaa zake za juisi zilizokuwa zikifahamika kama “Yebo”. Juhudi kubwa ilielekezwa katika kuitangaza…
Nashukuru, utabiri kwa Nyalandu unatimia
Tangu mapema kabisa nilishasema kwamba Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu ni tatizo. Niliyasema haya wiki kadhaa baada ya kuteuliwa kwake kushika wadhifa huo.Nyalandu alianza matatizo tangu akiwa Wizara ya Viwanda na Biashara. Nadhani Dk. Cyril Chami, anaweza kuwa msaada mzuri katika hili ninalolisema.
Serikali isipuuze, udini upo, iuthibiti (4)
Wiki iliyopita nilieleza chanzo na sababu za kuwapo kwa udini nchini, jinsi ulivyopandwa na kupaliliwa hadi kumea na kuwa mgumu kama kisiki cha mti aina ya mpingo.
Uhuru umeyeyusha matarajio yetu
Desemba 9, mwaka huu, Watanzania tumeadhimisha miaka 51 ya Uhuru wa nchi yetu, huku wengi wetu wakikabiliwa na maisha magumu kupindukia. Binafsi ninaamini kuwa ni unafiki kusema Tanzania haina cha kujivunia, lakini pia ni unafiki kusema Serikali kupitia Uhuru huu, imeboresha maisha ya wananchi.
Muungano ndiyo mboni ya Tanzania (1)
Ipo methali moja ya Kiswahili isemayo, “Usipoziba ufa utajenga ukuta”. Methali hii ina fundisho kubwa sana katika maisha yetu ya kila siku.
Nyangwine amkosoa January Makamba
*Asema kauli yake inabagua wazee CCM
*Aahidi kumuunga mkono mzee Wasira
Kauli iliyotolewa na Mbunge wa Bumbuli, January Makamba, kwamba mtu yeyote aliyezaliwa mwaka 1961 hapaswi kuwa Rais wa Tanzania, imemkera Mbunge wa Tarime, Nyambari Nyangwine.
Habari mpya
- Tanzania, AngloGold Ashanti kuimarisha ushirikiano
- JWTZ laadhimisha miaka 62 tangu kuanzishwa kwake
- NIDA yazindua Kampeni ya Kipo Chukua, Kamilisha Safari Yako
- TANESCO yabaini matukio ya wizi wa umeme Kinondoni Kaskazini
- Madereva 56 wafikishwa mahakamani, 12 wafungiwa leseni Pwani
- Nombo : Weledi na uadilifu ni msingi wa utendaji
- Bei za mafuta Septemba zashuka nchini
- Msajili wa Hazina ateta na uongozi wa kampuni ya Barrick
- Mhe. Salome: Wizara ya Nishati ina wajibu wa kuhakikisha wananchi wanapata umeme wa uhakika
- Serikali, KPMG kuimarisha ushirikiano katika maboresho ya mfumo wa kodi
- ADEM yasisisitiza matumizi sahihi ya AI kuboresha ubora wa elimu nchini
- Makamu wa Rais awasalimu wananchi wa Mbuyuni wilayani Moshi
- Rais Mwinyi azitaka nchi za NAM kuunganisha sauti katika maamuzi ya kimataifa
- Prof. Shemdoe aelekeza wafanyabiashara 30 soko la ndizi Mabibo kurejeshwa sokoni
- Mavunde aitaka Mantra kuharakisha mradi wa Urani Mkuju