Author: Jamhuri
Nguvu ya rangi katika biashara zetu
Leo nitawapitisha wajasiriamali katika somo muhimu kuhusu rangi. Je, unafahamu chimbuko la neno yeboyebo hapa nchini? Twende pamoja. Miaka michache iliyopita, kampuni moja ya hapa Tanzania ilitambulisha bidhaa zake za juisi zilizokuwa zikifahamika kama “Yebo”. Juhudi kubwa ilielekezwa katika kuitangaza…
Nashukuru, utabiri kwa Nyalandu unatimia
Tangu mapema kabisa nilishasema kwamba Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu ni tatizo. Niliyasema haya wiki kadhaa baada ya kuteuliwa kwake kushika wadhifa huo.Nyalandu alianza matatizo tangu akiwa Wizara ya Viwanda na Biashara. Nadhani Dk. Cyril Chami, anaweza kuwa msaada mzuri katika hili ninalolisema.
Serikali isipuuze, udini upo, iuthibiti (4)
Wiki iliyopita nilieleza chanzo na sababu za kuwapo kwa udini nchini, jinsi ulivyopandwa na kupaliliwa hadi kumea na kuwa mgumu kama kisiki cha mti aina ya mpingo.
Uhuru umeyeyusha matarajio yetu
Desemba 9, mwaka huu, Watanzania tumeadhimisha miaka 51 ya Uhuru wa nchi yetu, huku wengi wetu wakikabiliwa na maisha magumu kupindukia. Binafsi ninaamini kuwa ni unafiki kusema Tanzania haina cha kujivunia, lakini pia ni unafiki kusema Serikali kupitia Uhuru huu, imeboresha maisha ya wananchi.
Muungano ndiyo mboni ya Tanzania (1)
Ipo methali moja ya Kiswahili isemayo, “Usipoziba ufa utajenga ukuta”. Methali hii ina fundisho kubwa sana katika maisha yetu ya kila siku.
Nyangwine amkosoa January Makamba
*Asema kauli yake inabagua wazee CCM
*Aahidi kumuunga mkono mzee Wasira
Kauli iliyotolewa na Mbunge wa Bumbuli, January Makamba, kwamba mtu yeyote aliyezaliwa mwaka 1961 hapaswi kuwa Rais wa Tanzania, imemkera Mbunge wa Tarime, Nyambari Nyangwine.
- Wabunge waipongeza EWURA kwa uwajibikaji na uwazi
- Rais Samia aweka mwelekeo mpya urasimishaji sekta ya baba na mama lishe nchini
- Ulega aibana TANROADS, atoa siku 14 mkandarasi barabara ya Kisarawe – Maneromango apatikane
- Tuzo za BMT wanamichezo bora 2025 kutolewa Mei 9, tuzo ya mwanahabari nguli ipo
- Rais Samia akagua mapishi ya baba na mama lishe
Habari mpya
- Wabunge waipongeza EWURA kwa uwajibikaji na uwazi
- Rais Samia aweka mwelekeo mpya urasimishaji sekta ya baba na mama lishe nchini
- Ulega aibana TANROADS, atoa siku 14 mkandarasi barabara ya Kisarawe – Maneromango apatikane
- Tuzo za BMT wanamichezo bora 2025 kutolewa Mei 9, tuzo ya mwanahabari nguli ipo
- Rais Samia akagua mapishi ya baba na mama lishe
- Mwang’onda afurahishwa na mazingira rafiki ya uwekezaji Kibaha, azindua kiwanda Doweicare
- Makonda : Ujio Miss World, AFCON waonyesha imani kubwa ya dunia kwa Tanzania
- Dk Abbasi : Uhifadhi umeifanya Tanzania kuongoza kwa Simba wengi Duniani
- Bila EWURA mafuta yangekuwa bei gani?
- Serikali yasisitiza michezo ni nguzo ya afya na ufanisi kazini
- Bonde la Msimbazi jijini Dar kuwa sehemu muhimu kwa uchumi na mazingira – Prof. Shemdoe
- Soma Gazeti la Jamhuri Aprili 21- 27, 2026
- Ndejembi aipongeza REA
- Mwenge waridhishwa na mradi wa maji Kigoda–Ngwale unaotekelezwa na RUWASA
- Waziri Mkuu: Fedha za muungano zitumike kukarabati miundombin ya barabara